Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Mmh never trust kiumbe kinacho itwa Mwanamke,, tuliambiwa tuishi nao kwa akili

Wengi hawajielewi!

Alafu usiendekeze mawazo yke potezea utamsahau tu,, keep busy kutafuta mkwanja..
Msilaumu sana Wanawake Mbona nyie mmeoa na mnadanganya hamjaoa ili mpate penzi na kuwapa mimba juu michepuko huku mkiwa na ndoa zenu.
 
hiyo condom imenisaidia kujua ukweli na kautamka mwenyewe, maana tungekuwa kwenye ndoa ndio ingekuwa hatari zaidi, kutumia condom sio uhuni na ningekuwa muhuni basi ningeshamwacha mda mrefu sana,
Acha kuharibu binti za watu, be yourself. Usiishi maisha ya ujanja ujanja mkuu. Dunga ndoa
 
Msilaumu sana Wanawake Mbona nyie mmeoa na mnadanganya hamjaoa ili mpate penzi na kuwapa mimba juu michepuko huku mkiwa na ndoa zenu.
Usijitoe uufahamu wewe. Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume na sio mwanaume kwa ajili ya mwanamke nenda kasome maandiko matakatifu.
Sihalalishi uzinzi kwa wanaume nachotaka jamii iishi kwa misingi ya utaua. Mwanamke umeshachumbiwa basi tulia kuwa huru kwa mwanamme wako usiwe na siri mbona siku tumbo la period likikushika unaniambia bila hata kukuuliza iweje upatwe na jambo ufanye siri. Mwanamke anaweza shindana na mwanauume akamshinda lakini sio kushindana na ulimwengu. Umepigwa umepewa mimba ni kweli utamdanganya mumeo lakin huwezi udanganya ulimwengu. Dunia hadaa ulimwengu shujaa
 
Nadhani umenielewa vema, hato maswali yako hayana mashiko. Mapenzi nje ya ndoa ni umalaya, pia mwanamke ayatendaye hayo ni mjinga kweli kweli kea sababu aimaliza thamani yake taratibu.

Mwanamume mwenye nia njema na mwanamke humlinda dhidi ya ngono mpaka majira yake yanapofika. Vinginevyo ni kumchezea kwa kujaribu kukidhi kiu ya ngono isiyoisha.
 
Mmh never trust kiumbe kinacho itwa Mwanamke,, tuliambiwa tuishi nao kwa akili

Wengi hawajielewi!

Alafu usiendekeze mawazo yke potezea utamsahau tu,, keep busy kutafuta mkwanja..
Mwanamume mzinifu pia hajitambua, tena ni mjinga kweli kweli
 
Kwa hiyo wewe umeona umuhukumu mleta uzi huu ambaye mwanamme kwa kufanya uzunifu na huyo mwanamke. Ila umehalalisha mwanamke akafanye ngono na mwanaume ambae ni mwingine ili aje amsingizie jamaa etu sio.

Tatizo lako unajibu maswali niliokuukiza kidini sana. Huijui dini ya huyo bi dada au huyo mleta uzi ana dini gani anaamini katika dini au ni mpagani.
Ndo maana nikakuuliza ndoa ni nini?
Tunaposema mtu fulani amaeoa tuna maana gani?
Nikitegemea ujibu maswali haya kwa tafsiri ya kisheria wewe unakuja na dini unaifahamu. Au ulitaka uyajibu kwa sheria ya ndoa ya MALAWI. Sheria nazo zijua TANZANIA huyu jamaa yupo sahihi. Na anatupa changamoto mimi na wewe namna ya kukabiliana na hali kama hii. Vijana wengi tunamalizwa na baadae kupata sonona kwa vitu kama hivi. Mahusiano ya sasa kufanya ngono imekuwa kawaida na ni jambo wachache wanaliepuka hadi muda ufike.
Ujue kwenye mapenzi mwanaume anagharimika vitu vingi kwa staili ya maisha tunayoishi sisi watz sasa suala la kupigiwa nje linaongeza maumivu ya mwili na akili. Kwa kweli mleta uzi ametumia njia nzuri sana ya kidiplomasia kufikia maamuzi yake. Naamin wamemalizana kwa amani.
 
Dah mm ishanitokea hiyo mkuu. kawaida. Tafuta pesa wanawake wapo
 
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Attachments

  • Capture.PNG
    9.3 KB · Views: 6
  • Capturez.PNG
    19.4 KB · Views: 6
Hahaha mkuu una tembea na vitoto visivyo jitambua

Yaani mwanamke anajua kabisa kuwa Mara ya mwisho mlitumia condom na alichepuka then ana kubali kupima mbele yako ... Duuhh
 
Aisee !!!!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…