Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Si uwe tu kama UCHEBE sasa unangoja nn mtu kakusaliti na pia alitaka akupe kiumbe cha msela ulee bado unawaza acha udhaifu move on

Kuwa tu kama mimi sina mwanamke nnachofanya ni kutongoza akikubali namla sana tu mpaka akijua sina malengo nae kuna mwingine nshamtongoza kakubali, race ndo hivyo mzee hamna kuwekeza zaidi ya nauli na vichenchi kidogo
 
aiseee
 
Hii nayo noma umejadiliana nae nani amuoe alafu ukaendelea kumla 5 years tena

Huu nao ni ubaharia wa kiwango cha lami
 
Unaibiwa mzee kuwa makini kwann alikimbia, endelea kuhesabu siku ila usianze kulea mimba mana yawezekani ni goli la mhuni mmoja hivi
 
Aaarghhh! be shosti nae kazinguwa sana alitakiwa kwanza akifika nyumbnn achukuwe mkojo wa ndugu yake aupime ili itoke mstar mmoja halafu akutumie picha Then siku ambayo anataka kupga show kav kav anatakiwa siku hiyo awe na furaha sana anakuja gheto na mizawad km Boksa, kitu cha Kvant mixer bia anaenda kuoga akirud ndan anajibenuabenua huku mkipata kinywaji kisha anakwambia baby mwenzio sikuhiz ukitumia Condom zinaniwasha kwel yani hujakaa sawa karukia Koni ukistukia anaweka properly towards respective area with high focus then mtapiga round zenu za kutosha halafu anasema asante mpz leo nimeenjoy sana na leo nipo safe day.

Atarudia hivyo Several times then finally After one month ndio anakuja kusema Dear I hope nimeconsive na kukupa hongera kwa kazi uliyoifanya. Najua utaskitika yataisha tu na anakupa tena game sasa Kavkav hapo ushirikiano wako utakuw mzur sana na utamnyoisha kisawasawa kama noma na iwe noma.

Nakwambia hujui Ng'oooo na lait ningekuwa namjua ningemuelekeza maana kuna binti Mmoja hapa Kinondoni katolewa barua na mahari imetoka bado mwez mmoja kuolewa huku kamati za vikao za harusi zikiendelea akatembea na Mume wa Shoga yangu tena kav kavu kuja kustuka baadae anapma kaona mimba na yule jamaa wake alyemtolea barua akamuoa huku akiwa na mimba bila kujua wanaishi wote mpaka leo amezaa mtoto wa kwanza anafanana na Mama yake sana anabaye siyo wa yule baba hivyo jamaa haelewi na maisha yanaenda. ila mtito wa pili ndio amezaa na mme wake wa ndoa.
Yule wa kwanza ilibidi apewe Ubini wa mume wake wa ndoa na anahudumiwa na wanaume wote wawili

Teh teh teh bado Mpkaa leo anatembea na mume wa shoga yang maisha life goes on

Nowadays we are very intelligent especially on love scenarios you guys must be carefully in the game of love..
 
Duh[emoji87][emoji134][emoji134][emoji1751],hatari sana.
 
Dawa yenu ni Tomassi Rollo.
 
mama weeeee
 
Kwe Kweli wewe ni mwanaume mjinga umetomb.ewa halafu unataka kukusaidia kuamua hujui wanaume ni wachache ke ni wengi?
 
Bado haujapona kulea mtoto wa mchepuko wa mkeo , kupona kwako ni mpaka pale mtakapoamua kuacha kuzaa.
 
jamaa sio mjinga Then mkuu wanawake sikuhizi wapo kimkakati zaidi, unaweza ukawatmb vizuri lakini wakakusaliti kwa tamaa tu wanawake sasa hivi wengi ni wadangaji tu
Kwe
Kweli wewe ni mwanaume mjinga umetomb.ewa halafu unataka kukusaidia kuamua hujui wanaume ni wachache ke ni wengi?
 
Unakuwaje na wanaume wengi hivi na corona ai hii bure kabisa .
Hii miaka sio enzi zetu.
Unachepuka mpaka unachekelea kinyume nyume sasa hii ni zama za umakini kidogo.
Enzi zile unachepuka kwa raha tu.
Sai kuna mambo mengi sana .
 
Unakiwaje na wanaume wengi hivi na corona ai hii bure kabisa .
Hii miaka sio enzi zetu.
Unachepuka mpaka unachekelea kinyume nyume sasa hii ni zama za umakini kidogo.
Enzi zile unachepuka kwa raha tu.
Sai kuna mambo mengi sana .
condom imekamata mchepuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…