Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Daah
Mpenzi wako kachezea ukuni Hadi kanasa mimba, haitoshi alitaka kukubambikiza mtoto.

Sasa, ushauri wangu achana nae mrudie Mungu kwa kufanya ibada atakupa faraja ya kweli na utampata mwingine.

Huyo achana nae...Kama huna kifua cha kiume Kuna siku utamjeruhi na kuishia gerezani
 
hiyo condom imenisaidia kujua ukweli na kautamka mwenyewe, maana tungekuwa kwenye ndoa ndio ingekuwa hatari zaidi, kutumia condom sio uhuni na ningekuwa muhuni basi ningeshamwacha mda mrefu sana,
Mkuu acha umalaya, OA!! Ulipomwingilia binti wa watu ukiyaamsha mapenzi. Sasa unashangaa nini kufanywa na wengine? Hata hui ushauri wako kwa vijana eti watumie kondomu ni dalili kwamba huna maadili kabisa. Ni kizazi kinachovuruga mabinti kwa kisingizio cha "nitamuoa."

Pia hai wazazi wake hawana ufahamu wa malezi kabisa, iweje wamtoe binti yao kwa mhuni tu wa mtaani ageuzwe kahaba? Ujinga wa hali ya juu sana, wazazi wa kidijitali. Tubadilike wakuu, uasherati ni ishara ya malezi ya hovyo na matusi kwa walezi wetu.
 
Mapenzi yalivyo ya ajabu.

Kuna kila dalili huyo dada kutoa hiyo Mimba na akiwa poa atakuomba msamaha na utamsamehe na mtarudiana tena.

Ndio Maisha Mzee.

Ukishapenda bana kunasuka ni ishu kweli kweli
 
Habari zenu wakuu, Jf ni sehem nayoiheshimu na imejaa watu wazima wenye hekima na wanaojitambua natumaini mtanipa ushauri mzuri na wenye hekima.

Nipo kwenye mahusiano na binti 24 years old, Tumekuwa na mahusiano kwa mda wa miaka miwili na mda wote nilikuwa nikijitahidi sana kumlinda na mimba sababu yupo kwao mipango yetu ilikuwa ni kuzalia kwenye ndoa hivyo mda wote tuliokuwa tunakutana nilizingatia sana kinga ili kumlinda na mimba.

Sasa shida imekuja tokea miezi miwili iliyopita alikuwa kabadilika sana yani hata kukutana na mimi ni hadi aamue kwa kujiskia yeye tofauti na zamani, akija kwangu simu ataiacha kwao sababu hatuishi mbali na simu nilimnunulia mimi, hadi nikajiuliza simu imeficha nini lakini niliendelea kuwa mvumilivu.

Mara ya mwisho nikakutana nae kimwili siku moja baada ya kumaliza period na siku ya 27 ya mzunguko wa hedhi ndio ikawa mara ya mwisho kusex nae na mara zote nilitumia condom kwa usahihi na wala haikupasuka wala kupata damage yoyote,na hata mda wa kusex alikuwa yupo yupo tu yani najihisi nipo peke yangu kitandani.

Sasa baada ya kupita siku karibia 36 bila kuona siku zake, ikabidi nimuulize vipi kuna tatizo, akawa kakaa kimya tu anasema hajielewi labda ni mabadiliko tu, kwa vile nilishaona ile sio hali ya kawaida na haijawahi kutokea ikanibidi niende pharmacy nikanunua Baby check, kwa ajili ya kupima mkojo wake ili nijue kama ana ujauzito

Jioni nikampa nikamuekekeza acheki mkojo wa asubuhi akiamka, ilpofika asubuhi akachek na matokeo yakawa ni haya [emoji116], akanitumia hiyo picha whatsap

View attachment 1500024

Alama mbili zikatiki kuwa ni mjamzito, ikanibidi nionane nae jioni ile tujadiliane na maswali nliyokuwa nayo kichwani inawezekana vipi mtu usex kwa kutumia condom kwa usahihi na tena kwenye siku ambazo sio za kushika mimba na mtu apate mimba?

Nilivyoonana nae ikanibidi nimbane kisawa sawa kwa tecknic nazozijua mimi ili aseme ukweli kama aliteleza, baada ya kumbana huku akilia kuwa mimba ni yangu nikamwambia pia kama bado utaniaminisha mimba ni yangu mimi sina tatizo mtoto akizaliwa tutaenda kucheki DNA, kuthibitisha kuwa ni wangu ili nilee damu yangu, Akasema hataki kuzaa hivyo tuitoe, mimi nikasimamia msimamo wangu kuwa damu yetu haipotei kama mimba ni yangu ajiamini kwanini aogope hadi atake kuitoa na uwezo wa kulea upo.

Ikabidi aongee ukweli kuwa alinisaliti na mtu mwenyewe aliyechepuka nae haijui hata background yake hata kazi anazofanya hazijui, niliishiwa nguvu pale nilipo mwambia alete simu yake ampigie huyo jamaa kuwa ana mimba yake

Baada ya kumpigia jamaa akakubali na kusema hana tatizo , nilibaki na mshangao na machozi yalinitoka, na kama isingekuwa kutumia condom basi ile mimba ilikuwa niikubali kwa mikono miwili na ukiangalia kwetu kutoa mimba ni haram na kosa kubwa wakati uwezo wa kulea upo

Pale ndipo nilipoamini kuwa wanawake ni watu wakuishi nao kwa akili sana, kukuletea mtoto asie wako hawaoni kazi, naamini kuna watu wengi mnalea watoto ambao sio wenu, mimi nimeponyea kwenye tundu la sindano

nichukue fursa hii kuwashauri vijana ambao hamko kwenye ndoa acheni kuruka na wanawake kavu kavu, hasa hawa mabinti under 28, hawafai hata kidogo ni wachache sana wametulia ila wengi ni mafia, kukuleta mimba isiyo yako huwa hawaoni tabu

Ni heri mtumie condom tu ili kuepukana na huu mchezo tunaochezewa wanaume, ifike mahali tuseme basi kulea watoto ambao sio wetu tumechoka

Vile vile tokea hili tukio litokee nipo katika wakati mgumu sana, mawazo hayaniishi sababu kutendewa unyama kama huu na mtu niliyempenda inaumiza sana, na huyu mwanamke kila kukicha ananiomba msamaha akilia, hivi nawezaje kusamehe usaliti kama huu? ndio maana kwenye heding nikaomba ushauri wenu namna ya kuanza maisha mapya yenye amani nimechanganyikiwa kwa kweli
Chapa lapa usiwaze ndiyo maisha kijana unaweza kudhani unapanda kumbe ndiyo unavunwa
 
Mapenzi yalivyo ya ajabu.

Kuna kila dalili huyo dada kutoa hiyo Mimba na akiwa poa atakuomba msamaha na utamsamehe na mtarudiana tena.

Ndio Maisha Mzee.

Ukishapenda bana kunasuka ni ishu kweli kweli
Hatari sana
 
mimi nalea mtoto ambae hesabu zangu zinaonesha si wangu na niko kwenye ndoa isiyoisha migogoro. mtoto ana miaka minne sasa mke wangu kakataa kumtaja mhusika kalazimisha ni wangu na mtoto nikampa jina mimi wakati sikuwa nae kama miezi sita nikaibuka nikalala nae nikasafiri tena baada ya miezi sita na nusu akazaa!!

siamini tena mwanamke yoyote mzuri na mweupe!!lazima awe kahaba tu hata umpe nini!
Sasa toka umesex nae si miezi tisa ilipita au???
 
Habari zenu wakuu, Jf ni sehem nayoiheshimu na imejaa watu wazima wenye hekima na wanaojitambua natumaini mtanipa ushauri mzuri na wenye hekima.

Nipo kwenye mahusiano na binti 24 years old, Tumekuwa na mahusiano kwa mda wa miaka miwili na mda wote nilikuwa nikijitahidi sana kumlinda na mimba sababu yupo kwao mipango yetu ilikuwa ni kuzalia kwenye ndoa hivyo mda wote tuliokuwa tunakutana nilizingatia sana kinga ili kumlinda na mimba.

Sasa shida imekuja tokea miezi miwili iliyopita alikuwa kabadilika sana yani hata kukutana na mimi ni hadi aamue kwa kujiskia yeye tofauti na zamani, akija kwangu simu ataiacha kwao sababu hatuishi mbali na simu nilimnunulia mimi, hadi nikajiuliza simu imeficha nini lakini niliendelea kuwa mvumilivu.

Mara ya mwisho nikakutana nae kimwili siku moja baada ya kumaliza period na siku ya 27 ya mzunguko wa hedhi ndio ikawa mara ya mwisho kusex nae na mara zote nilitumia condom kwa usahihi na wala haikupasuka wala kupata damage yoyote,na hata mda wa kusex alikuwa yupo yupo tu yani najihisi nipo peke yangu kitandani.

Sasa baada ya kupita siku karibia 36 bila kuona siku zake, ikabidi nimuulize vipi kuna tatizo, akawa kakaa kimya tu anasema hajielewi labda ni mabadiliko tu, kwa vile nilishaona ile sio hali ya kawaida na haijawahi kutokea ikanibidi niende pharmacy nikanunua Baby check, kwa ajili ya kupima mkojo wake ili nijue kama ana ujauzito

Jioni nikampa nikamuekekeza acheki mkojo wa asubuhi akiamka, ilpofika asubuhi akachek na matokeo yakawa ni haya [emoji116], akanitumia hiyo picha whatsap

View attachment 1500024

Alama mbili zikatiki kuwa ni mjamzito, ikanibidi nionane nae jioni ile tujadiliane na maswali nliyokuwa nayo kichwani inawezekana vipi mtu usex kwa kutumia condom kwa usahihi na tena kwenye siku ambazo sio za kushika mimba na mtu apate mimba?

Nilivyoonana nae ikanibidi nimbane kisawa sawa kwa tecknic nazozijua mimi ili aseme ukweli kama aliteleza, baada ya kumbana huku akilia kuwa mimba ni yangu nikamwambia pia kama bado utaniaminisha mimba ni yangu mimi sina tatizo mtoto akizaliwa tutaenda kucheki DNA, kuthibitisha kuwa ni wangu ili nilee damu yangu, Akasema hataki kuzaa hivyo tuitoe, mimi nikasimamia msimamo wangu kuwa damu yetu haipotei kama mimba ni yangu ajiamini kwanini aogope hadi atake kuitoa na uwezo wa kulea upo.

Ikabidi aongee ukweli kuwa alinisaliti na mtu mwenyewe aliyechepuka nae haijui hata background yake hata kazi anazofanya hazijui, niliishiwa nguvu pale nilipo mwambia alete simu yake ampigie huyo jamaa kuwa ana mimba yake

Baada ya kumpigia jamaa akakubali na kusema hana tatizo , nilibaki na mshangao na machozi yalinitoka, na kama isingekuwa kutumia condom basi ile mimba ilikuwa niikubali kwa mikono miwili na ukiangalia kwetu kutoa mimba ni haram na kosa kubwa wakati uwezo wa kulea upo

Pale ndipo nilipoamini kuwa wanawake ni watu wakuishi nao kwa akili sana, kukuletea mtoto asie wako hawaoni kazi, naamini kuna watu wengi mnalea watoto ambao sio wenu, mimi nimeponyea kwenye tundu la sindano

nichukue fursa hii kuwashauri vijana ambao hamko kwenye ndoa acheni kuruka na wanawake kavu kavu, hasa hawa mabinti under 28, hawafai hata kidogo ni wachache sana wametulia ila wengi ni mafia, kukuleta mimba isiyo yako huwa hawaoni tabu

Ni heri mtumie condom tu ili kuepukana na huu mchezo tunaochezewa wanaume, ifike mahali tuseme basi kulea watoto ambao sio wetu tumechoka

Vile vile tokea hili tukio litokee nipo katika wakati mgumu sana, mawazo hayaniishi sababu kutendewa unyama kama huu na mtu niliyempenda inaumiza sana, na huyu mwanamke kila kukicha ananiomba msamaha akilia, hivi nawezaje kusamehe usaliti kama huu? ndio maana kwenye heding nikaomba ushauri wenu namna ya kuanza maisha mapya yenye amani nimechanganyikiwa kwa kweli
Umekula limbwata wewe
 
Noma sana sema wanawake hapana aisee.. Siku hizi hata mkemia mkuu hatoi majibu ya DNA as yalivyoo maana watoto wa mtaani watakuwa wengi sana na Ndoa zitavunjikaaa..!!
 
Wewe ulikuwa unakula kwa mpira, mwenzio akataka kuonja nyama!
Pole.

Mimi nilisalitiwa na mchepuko wangu. Nilimpenda na kumwamini sana. Alikuwa mwanachuo akisoma mkoa tofauti na ninaoishi.
Best yake ndiye aliyefanya nijue, na akanipa na details za huyo jamaa pamoja na phone namba yake.
Nilianza na huyo jamaa, akakubali kirahisi na kutoa maelezo yote niliyoyataka, nikiwa na hizo details, ndio nikampigia.
Alilia sana, akaomba sana. Akarudi mkoani kuja kubembeleza.
Lkn niligundua jambo moja ambalo kibinadamu lilimpa mazingira ya kuangukia huko. Na yule jamaa kwa kuwa alijua bint ana mtu, alitengeneza mazingira kupitia yule best wake ili mm nigundue nimuache ili yeye aendelee naye kwa uhuru zaidi.
Japo bint alinisaliti, lkn haikjwa ile "falling in love" kwa huyo jamaa.
Jamaa hakuwa akipewa "air-time" ya kutosha ndio akaamua kufanya hivyo.
Baada ya kuona yale mazingira kweli yana weza kumuangusha mtu, nikamsamehe!
Na hasa ukichukulia ni "mchepuko".
Lakini kumwamini kulipungua, na yeye alijua hivyo.
Niliendelea naye hadi nilipoona sasa anafaa apate mume, nikamshauri juu ya hilo, tukawadiscuss wote waliojitokeza kumtaka, tukaona anayefaa, tukawaozesha, sasa ni familia ya watoto wawili. Na nimekuwa rafiki na ndugu wa familia.
Na hajawahi nisaliti tena, japo nami alinipa ofa ya kuendelea "kumla au kulana" kwa miaka mitano ya mwanzo ya ndoa yake!

Wakati mwingine mtu hujikuta amesaliti kutokana na mazingira na sio dhamira!
 
Wewe ulikuwa unakula kwa mpira, mwenzio akataka kuonja nyama!
Pole.

Mimi nilisalitiwa na mchepuko wangu. Nilimpenda na kumwamini sana. Alikuwa mwanachuo akisoma mkoa tofauti na ninaoishi.
Best yake ndiye aliyefanya nijue, na akanipa na details za huyo jamaa pamoja na phone namba yake.
Nilianza na huyo jamaa, akakubali kirahisi na kutoa maelezo yote niliyoyataka, nikiwa na hizo details, ndio nikampigia.
Alilia sana, akaomba sana. Akarudi mkoani kuja kubembeleza.
Lkn niligundua jambo moja ambalo kibinadamu lilimpa mazingira ya kuangukia huko. Na yule jamaa kwa kuwa alijua bint ana mtu, alitengeneza mazingira kupitia yule best wake ili mm nigundue nimuache ili yeye aendelee naye kwa uhuru zaidi.
Japo bint alinisaliti, lkn haikjwa ile "falling in love" kwa huyo jamaa.
Jamaa hakuwa akipewa "air-time" ya kutosha ndio akaamua kufanya hivyo.
Baada ya kuona yale mazingira kweli yana weza kumuangusha mtu, nikamsamehe!
Na hasa ukichukulia ni "mchepuko".
Lakini kumwamini kulipungua, na yeye alijua hivyo.
Niliendelea naye hadi nilipoona sasa anafaa apate mume, nikamshauri juu ya hilo, tukawadiscuss wote waliojitokeza kumtaka, tukaona anayefaa, tukawaozesha, sasa ni familia ya watoto wawili. Na nimekuwa rafiki na ndugu wa familia.
Na hajawahi nisaliti tena, japo nami alinipa ofa ya kuendelea "kumla au kulana" kwa miaka mitano ya mwanzo ya ndoa yake!

Wakati mwingine mtu hujikuta amesaliti kutokana na mazingira na sio dhamira!
Daah
 
Wewe ulikuwa unakula kwa mpira, mwenzio akataka kuonja nyama!
Pole.

Mimi nilisalitiwa na mchepuko wangu. Nilimpenda na kumwamini sana. Alikuwa mwanachuo akisoma mkoa tofauti na ninaoishi.
Best yake ndiye aliyefanya nijue, na akanipa na details za huyo jamaa pamoja na phone namba yake.
Nilianza na huyo jamaa, akakubali kirahisi na kutoa maelezo yote niliyoyataka, nikiwa na hizo details, ndio nikampigia.
Alilia sana, akaomba sana. Akarudi mkoani kuja kubembeleza.
Lkn niligundua jambo moja ambalo kibinadamu lilimpa mazingira ya kuangukia huko. Na yule jamaa kwa kuwa alijua bint ana mtu, alitengeneza mazingira kupitia yule best wake ili mm nigundue nimuache ili yeye aendelee naye kwa uhuru zaidi.
Japo bint alinisaliti, lkn haikjwa ile "falling in love" kwa huyo jamaa.
Jamaa hakuwa akipewa "air-time" ya kutosha ndio akaamua kufanya hivyo.
Baada ya kuona yale mazingira kweli yana weza kumuangusha mtu, nikamsamehe!
Na hasa ukichukulia ni "mchepuko".
Lakini kumwamini kulipungua, na yeye alijua hivyo.
Niliendelea naye hadi nilipoona sasa anafaa apate mume, nikamshauri juu ya hilo, tukawadiscuss wote waliojitokeza kumtaka, tukaona anayefaa, tukawaozesha, sasa ni familia ya watoto wawili. Na nimekuwa rafiki na ndugu wa familia.
Na hajawahi nisaliti tena, japo nami alinipa ofa ya kuendelea "kumla au kulana" kwa miaka mitano ya mwanzo ya ndoa yake!

Wakati mwingine mtu hujikuta amesaliti kutokana na mazingira na sio dhamira!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanawakee hapana aisee
 
Mkuu acha umalaya, OA!! Ulipomwingilia binti wa watu ukiyaamsha mapenzi. Sasa unashangaa nini kufanywa na wengine? Hata hui ushauri wako kwa vijana eti watumie kondomu ni dalili kwamba huna maadili kabisa. Ni kizazi kinachovuruga mabinti kwa kisingizio cha "nitamuoa."

Pia hai wazazi wake hawana ufahamu wa malezi kabisa, iweje wamtoe binti yao kwa mhuni tu wa mtaani ageuzwe kahaba? Ujinga wa hali ya juu sana, wazazi wa kidijitali. Tubadilike wakuu, uasherati ni ishara ya malezi ya hovyo na matusi kwa walezi wetu.
Nipe tafsiri ya neno KUOA....
Nipe tafsiri ya neno NDOA.
Nipe tofauti ya kuoa, ndoa na harusi naona kama unataka changanya vitu.

Je adam na hawa pale bustani ile ilikuwa ni nini NDOA au HARUSI.....
Kuna jambo naona unataka kulihalalisha hapa kwamba nikiwa na mahusiano na mwanamke fulani basi ni kwamba milango ipo wazi aje agegedwe sio???

Nikiulize tena ipi tofauti ya wanadam na wanyama kwenye suala la mahusiano?
 
Back
Top Bottom