Baada ya kugundua kua Hawatajaza watu mikutanoni, na Wasanii wako bize, Nchimbi, Makala na Timu yake wajikita kwenye Mikutano ya Ndani ya CHAMA!!.

Baada ya kugundua kua Hawatajaza watu mikutanoni, na Wasanii wako bize, Nchimbi, Makala na Timu yake wajikita kwenye Mikutano ya Ndani ya CHAMA!!.

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hii ni kuhofia aibu ambayo ingewapata, ndioo, Wamejua kwamba hawatajaza watu, wanajua hawakubaliki, hawana ushawishi, Sasa wamekuja na GIA ya kufanya Ziara za Mikutano ya Ndani tuu, yaan kwenye Viukumbi vyenye kubeba wanachama tu na sio Raia ,tena wanachama wapatao 100 !!.


Hofu yao ni kuona wanaanza kulinganishwa na Mikutano ya Jeshi la mtu Mmoja Paul C Makonda !!.


Sasa nmeelewa, kwann Nchimbi hakutaka kufanya kazi na Makonda...jibu nikua Makonda amem-Outshine !!!. ...Ni kwamba Mikutano wa Nchimbi na Makala wenye Wasanii, bado haukuwavutia watanzania kama ilivyokua Kwa Paul C Makonda ambaye hakuambatana na Wasanii. !!!.



Wapo njia panda.... Watembee na Wasanii ili wajaze lkn Bado watanzania tulinganishe ukubalifu wao dhidi ya Paul Makonda??.


Au Wasitembre na Wasanii ila wasijaze ionekane hawana mvuto??.


Yote mawili yanaonekana bado kumbeba Paul C Makonda!!.


Solution Yao imekua ni kujikita kwenye Mikutano ya Ndani tu mpaka pale kampeni zitakapoanza.


MAKONDA ni kama HAYATI MAGUFULI, Yaan Marais woteee wa Nchi hii watakua wanapimwa kupitia HAYATI J POMBE MAGUFULI.



Kwa haraakharaka, Janja walotumia, itawafanya waendelee kuaminika na Samia.

VIVA SUKUMAGANG...WAZALENDO THABITI WA NCHI HII
 
Hii ni kuhofia aibu ambayo ingewapata, ndioo, Wamejua kwamba hawatajaza watu, wanajua hawakubaliki, hawana ushawishi, Sasa wamekuja na GIA ya kufanya Ziara za Mikutano ya Ndani tuu, yaan kwenye Viukumbi vyenye kubeba wanachama tu na sio Raia ,tena wanachama wapatao 100 !!.


Hofu yao ni kuona wanaanza kulinganishwa na Mikutano ya Jeshi la mtu Mmoja Paul C Makonda !!.


Sasa nmeelewa, kwann Nchimbi hakutaka kufanya kazi na Makonda...jibu nikua Makonda amem-Outshine !!!. ...Ni kwamba Mikutano wa Nchimbi na Makala wenye Wasanii, bado haukuwavutia watanzania kama ilivyokua Kwa Paul C Makonda ambaye hakuambatana na Wasanii. !!!.



Wapo njia panda.... Watembee na Wasanii ili wajaze lkn Bado watanzania tulinganishe ukubalifu wao dhidi ya Paul Makonda??.


Au Wasitembre na Wasanii ila wasijaze ionekane hawana mvuto??.


Yote mawili yanaonekana bado kumbeba Paul C Makonda!!.


Solution Yao imekua ni kujikita kwenye Mikutano ya Ndani tu mpaka pale kampeni zitakapoanza.


MAKONDA ni kama HAYATI MAGUFULI, Yaan Marais woteee wa Nchi hii watakua wanapimwa kupitia HAYATI J POMBE MAGUFULI.



Kwa haraakharaka, Janja walotumia, itawafanya waendelee kuaminika na Samia.

VIVA SUKUMAGANG...WAZALENDO THABITI WA NCHI HII
Hao wanajua maana ya chama , ujaze watu sahizj kwani ni muda wa kampeni?

Tulia kijana kichaa wenu muda sio mrefu ataukosa na huo ukuu wa mkoa.
 
Viva Sukuma Gang... Wazalendo halisi wa nchi hii. ✅️
 
Kati ya vitu ccm haiogopi ni kujaza watu mkutanoni hao wakiamua taifa inajaa hadi nje hata kama anaehutubia ni mtoto wa Sheta
 
Hii ni kuhofia aibu ambayo ingewapata, ndioo, Wamejua kwamba hawatajaza watu, wanajua hawakubaliki, hawana ushawishi, Sasa wamekuja na GIA ya kufanya Ziara za Mikutano ya Ndani tuu, yaan kwenye Viukumbi vyenye kubeba wanachama tu na sio Raia ,tena wanachama wapatao 100 !!.


Hofu yao ni kuona wanaanza kulinganishwa na Mikutano ya Jeshi la mtu Mmoja Paul C Makonda !!.


Sasa nmeelewa, kwann Nchimbi hakutaka kufanya kazi na Makonda...jibu nikua Makonda amem-Outshine !!!. ...Ni kwamba Mikutano wa Nchimbi na Makala wenye Wasanii, bado haukuwavutia watanzania kama ilivyokua Kwa Paul C Makonda ambaye hakuambatana na Wasanii. !!!.



Wapo njia panda.... Watembee na Wasanii ili wajaze lkn Bado watanzania tulinganishe ukubalifu wao dhidi ya Paul Makonda??.


Au Wasitembre na Wasanii ila wasijaze ionekane hawana mvuto??.


Yote mawili yanaonekana bado kumbeba Paul C Makonda!!.


Solution Yao imekua ni kujikita kwenye Mikutano ya Ndani tu mpaka pale kampeni zitakapoanza.


MAKONDA ni kama HAYATI MAGUFULI, Yaan Marais woteee wa Nchi hii watakua wanapimwa kupitia HAYATI J POMBE MAGUFULI.



Kwa haraakharaka, Janja walotumia, itawafanya waendelee kuaminika na Samia.

VIVA SUKUMAGANG...WAZALENDO THABITI WA NCHI HII
Huu ni ukweli
 
Kati ya vitu ccm haiogopi ni kujaza watu mkutanoni hao wakiamua taifa inajaa hadi nje hata kama anaehutubia ni mtoto wa Sheta
This time hawawezi. Kuna mzimu Magufuli aliupandikiza kwa wanannchi utakuja kulipuka. Kile kitendo cha kusema mmepigwa sana watz! Ile ilikuwa ni amsha popo
 
This time hawawezi. Kuna mzimu Magufuli aliupandikiza kwa wanannchi utakuja kulipuka. Kile kitendo cha kusema mmepigwa sana watz! Ile ilikuwa ni amsha popo
Mkuu ccm wakiamua wanajaza hata viwanja viwili vya mpira kwa kusomba watu au kwa publicity yani bado sana hapo wanaweka vikolombwezo vichache TU utaona nyomi hujawahi ona hii nchi na ccm ni chanda na pete
 
Pole sana, inaonekana unapenda siasa za mihemko mihemko. Siasa ni itikadi na sio mihemko.
 
Mkuu ccm wakiamua wanajaza hata viwanja viwili vya mpira kwa kusomba watu au kwa publicity yani bado sana hapo wanaweka vikolombwezo vichache TU utaona nyomi hujawahi ona hii nchi na ccm ni chanda na pete
Watakuja kupiga ngumi kwenye ncha ya mkuki. Huo wakati unakuja faster than you can possibly imagine
 
CCM wakiwa wanatifuana wao kwa wao ni kama mchezo wa kuigiza.

Muda wa uchaguzi ni wamoja. Mipango yao ya kuiba chaguzi ipo palepale. Wapinzani msiingie kwenye huo mtego.
 
Back
Top Bottom