Baada ya kujifungua nje ya ndoa, mashabiki wamvaa Zamaradi

Baada ya kujifungua nje ya ndoa, mashabiki wamvaa Zamaradi

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Baada ya mtangazaji maarufu nchini, zamaradi mketema, kujifungua mtoto wa mwingine ,mashabiki wake wamemjia juu mtangazaji huyo na kudai kuwa kitendo cha kuzaa nje ya ndoa ni kosa kwa mtoto wa kiislam kama yeye, kwani kinaonyesha kuwa hakulelewa kwenye maadili mazuri kama dini yake inavyotaka.

Mashabiki hao wamelaani kitendo cha mtangazaji huyo kuendelea kuzaa bila kufunga ndoa, kitendo ambacho watu wamekitafsiri kama uzinifu na uhuni.
 

Attachments

  • 1427297437263.jpg
    1427297437263.jpg
    55.1 KB · Views: 5,430
hao mashabiki waache ushabiki maandazi

Tena wengine ukiwachunguza na wao wamezaliwa nje kama sio pembeni ya ndoa

😕😕😕😕

Mashabiki wametisha ila kuna ka ukweli kidogo, sio zamaradi tu wanawake wengi siku izi wanajisahau wanaona kuzaa nje ya ndoa fashion, hii inachangia sana kuwepo kwa street children na ndio chanzo cha mateso kwa watoto wasiokuwa na hatia... bora zamaradi baba watoto wake kidogo nafuu hao akina mama mwantumu uko tandale hali ndo mbaya wanazaa kama kuku uwezo hamna bas shida tupu
 
Lakini hilo lina ukweli jamani maana marehemu baba yake nasikia alikua sheikh mkubwa huko Kinondoni.Kama mtoto wa kiislam haipendezi ila ndio maisha yake aliyojichagulia.

SIku izi umekua fashion binamu, ila bora zamaradi, kituko kipo kwa aunty kuzaa nje ya ndoa, yani ni shidaaa
 
Lakini hilo lina ukweli jamani maana marehemu baba yake nasikia alikua sheikh mkubwa huko Kinondoni.Kama mtoto wa kiislam haipendezi ila ndio maisha yake aliyojichagulia.

Mi nikikumbuka tu maneno ya ray c eti bitches be like uwa nacheka sana kwa kweli
 
Baada ya mtangazaji maarufu nchini, zamaradi mketema, kujifungua mtoto wa ,mashabiki wake wamemjia juu mtangazaji huyo na kudai kuwa kitendo cha kuzaa nje ya ndoa ni kosa kwa mtoto wa kiislam kama yeye, kwani kinaonyesha kuwa hakulelewa kwenye maadili mazuri kama dini yake inavyotaka.

Mashabiki hao wamelaani kitendo cha mtangazaji huyo kuendelea kuzaa bila kufunga ndoa, kitendo ambacho watu wamekitafsiri kama uzinifu na uhuni.

Acheni usenge mtoto ni mtoto tu
 
Mashabiki wametisha ila kuna ka ukweli kidogo, sio zamaradi tu wanawake wengi siku izi wanajisahau wanaona kuzaa nje ya ndoa fashion, hii inachangia sana kuwepo kwa street children na ndio chanzo cha mateso kwa watoto wasiokuwa na hatia... bora zamaradi baba watoto wake kidogo nafuu hao akina mama mwantumu uko tandale hali ndo mbaya wanazaa kama kuku uwezo hamna bas shida tupu

Hivi hao wanawake wajioe wenyewe? Wanaume wenyewe kutwa mnakimbia ndoa. Waacheni bana watiane na wazae. Waache kutiana kisa ndoa?
 
Back
Top Bottom