Baada ya kujifungua nje ya ndoa, mashabiki wamvaa Zamaradi

Baada ya kujifungua nje ya ndoa, mashabiki wamvaa Zamaradi

Baada ya mtangazaji maarufu nchini, zamaradi mketema, kujifungua mtoto wa mwingine ,mashabiki wake wamemjia juu mtangazaji huyo na kudai kuwa kitendo cha kuzaa nje ya ndoa ni kosa kwa mtoto wa kiislam kama yeye, kwani kinaonyesha kuwa hakulelewa kwenye maadili mazuri kama dini yake inavyotaka.

Mashabiki hao wamelaani kitendo cha mtangazaji huyo kuendelea kuzaa bila kufunga ndoa, kitendo ambacho watu wamekitafsiri kama uzinifu na uhuni.

Matumizi ya hii sentensi huwa yananikwaza kupita maelezo, laiti soe tungefuata maandiko ya dini zetu dunia ingekuwa mahali salama sana pa kuishi.

Hakuna dini inayoruhusu waamini wake kukiuka maandiko na maelekezo yao, ila ni wazi kuwa awe ni muisilamu au mkristo bado maandiko na maelekezo ya dini husika yamekuwa yanawashinda wafuasi wao na hata kwa viongozi wao..hata hao Masheikh na Wachungaji wamekuwa wakiukaji wakubwa wa miongozo ua dini zao.
 
asiye na dhambi awe wa kwanza kumrushia jiwe zamaradi jamani!
sisi humu miongoni mwetu hamna wa nje ya ndoa?
sio vizuri kuna watu tunawaumiza hapa kwani watoto wa nje hawana haki ya kuishi?

geni nimekupenda bure......hata azae watoto 100 azae tu. as long as anauwezo wa kuwalea vizuri.
 
Si wanapenda.kuwa.single mothers.
Ndoa.nowadays inaonekana ni Utamaduni tu wa kizamani
 
asiye na dhambi awe wa kwanza kumrushia jiwe zamaradi jamani!
sisi humu miongoni mwetu hamna wa nje ya ndoa?
sio vizuri kuna watu tunawaumiza hapa kwani watoto wa nje hawana haki ya kuishi?

Unapokuwa kioo cha jamii, basi inabidi mwenendo wako uungalie mara mbili, wewe ata ukizaa watoto kumi nani atasema? Jina lina matter sio vzur sio suala la wangapi wanazaa nje binamu
 
Zamaradi unatia aibu loh, baba ako alikuwa shehe ujue? Anakulaani uko ulipo, unazaa watoto haramu
 
  • Thanks
Reactions: amu
Lakini hilo lina ukweli jamani maana marehemu baba yake nasikia alikua sheikh mkubwa huko Kinondoni.Kama mtoto wa kiislam haipendezi ila ndio maisha yake aliyojichagulia.

Nashngaa wanaomtetea sijui na wao hawawajui baba wa watoto zao, ahahahahahh
 
Utamaduni au kuendekeza umalay *

Mkuu.kama.umeona.siku hizi.kila.kitu ni.liberalized yani.watu.wanataka uhuru.
So hata kina.dada zetu.wanajua akiolewa.tuuu,bata ndo.basi.na.umcharuko ujinga wote ambao.anapenda.kufanya.inabidi.aachane.nao.
Basi.wanaamua.kua single.moms tu.
Sina.uhakika.na.uyu.dada case yake.ni.ipi though.
 
geni nimekupenda bure......hata azae watoto 100 azae tu. as long as anauwezo wa kuwalea vizuri.
h

yani kisa ruge tu jamani roho zinawasugua watu
Unapokuwa kioo cha jamii, basi inabidi mwenendo wako uungalie mara mbili, wewe ata ukizaa watoto kumi nani atasema? Jina lina matter sio vzur sio suala la wangapi wanazaa nje binamu

bina ye ndo wa kwanza kuzaa nje kwa hapa bongo?hao maarufu
ni binadamu ameumbiwa kukosea km binadamu wengine
ukute anaumia sana
 
Hao mashabiki pumbavu zao tu... kwanza miongoni mwao wenyewe ni watoto wa nje ya ndoa! Yaani mishabiki ya Tanzania cjui ipo vipi... yaani ikijifanya kumshabikia fulani basi inataka kuingilia hado personal life zake!
 
Zamaradi unatia aibu loh, baba ako alikuwa shehe ujue? Anakulaani uko ulipo, unazaa watoto haramu
Hebu toka hapa na wewe! Na wewe unafuata nyayo za baba ako? Unataka kusema babako na yeye alikuwa mbeya kama wewe au umaluuni wako tu ndo umekufanya uwe mbeya?
 
Back
Top Bottom