Baada ya kujua Mbeya City FC wana Uyanga mwingi najitolea kufanya Fitna ili ifungwe na KMC FC na ishuke kabisa Daraja

Baada ya kujua Mbeya City FC wana Uyanga mwingi najitolea kufanya Fitna ili ifungwe na KMC FC na ishuke kabisa Daraja

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kocha wa KMC FC na Mtoto wa Mjini Mwenzangu Jamhuri Kihwelo ( alias Julio ) najua leo mmefungwa nao Goli 2 kwa 1 huko Kwao Mbeya na Ijumaa mnarudiana nao Dar es Salaam hivyo tulia wana Simba SC Wenzako tuicheze Kimafia na Kimjinimjini hiyo Mechi uwafunge Goli 3 au 4 kwa bila ili mbakie Ligi Kuu ya NBC na Wao washuke kabisa Daraja.

Mbeya City FC wakiwa wanacheza na Simba SC huwa wanajitoa kwa 150% kutaka Matokeo ila wakicheza na Yanga SC huwa Laini na Nyoro Nyoro huku Wakilazimisha kutaka Kufungwa na Yanga SC na kiukweli huwa Wanafungwa au kutoka Sare ya Kizembe kama ya hivi karibuni baada ya Wao kutangulia kwa Goli 3 ambazo baadae zilirudishwa na Kunikera mno kama siyo sana.

Mbeya City FC washuke tu Daraja.
 
Kocha wa KMC FC na Mtoto wa Mjini Mwenzangu Jamhuri Kihwelo ( alias Julio ) najua leo mmefungwa nao Goli 2 kwa 1 huko Kwao Mbeya na Ijumaa mnarudiana nao Dar es Salaam hivyo tulia wana Simba SC Wenzako tuicheze Kimafia na Kimjinimjini hiyo Mechi uwafunge Goli 3 au 4 kwa bila ili mbakie Ligi Kuu ya NBC na Wao washuke kabisa Daraja.

Mbeya City FC wakiwa wanacheza na Simba SC huwa wanajitoa kwa 150% kutaka Matokeo ila wakicheza na Yanga SC huwa Laini na Nyoro Nyoro huku Wakilazimisha kutaka Kufungwa na Yanga SC na kiukweli huwa Wanafungwa au kutoka Sare ya Kizembe kama ya hivi karibuni baada ya Wao kutangulia kwa Goli 3 ambazo baadae zilirudishwa na Kunikera mno kama siyo sana.

Mbeya City FC washuke tu Daraja.
Asante Kwa kuvujisha mtihani,

Siku hiyo kmc nampa over 2.5
 
Kocha wa KMC FC na Mtoto wa Mjini Mwenzangu Jamhuri Kihwelo ( alias Julio ) najua leo mmefungwa nao Goli 2 kwa 1 huko Kwao Mbeya na Ijumaa mnarudiana nao Dar es Salaam hivyo tulia wana Simba SC Wenzako tuicheze Kimafia na Kimjinimjini hiyo Mechi uwafunge Goli 3 au 4 kwa bila ili mbakie Ligi Kuu ya NBC na Wao washuke kabisa Daraja.

Mbeya City FC wakiwa wanacheza na Simba SC huwa wanajitoa kwa 150% kutaka Matokeo ila wakicheza na Yanga SC huwa Laini na Nyoro Nyoro huku Wakilazimisha kutaka Kufungwa na Yanga SC na kiukweli huwa Wanafungwa au kutoka Sare ya Kizembe kama ya hivi karibuni baada ya Wao kutangulia kwa Goli 3 ambazo baadae zilirudishwa na Kunikera mno kama siyo sana.

Mbeya City FC washuke tu Daraja.
Katika watu ambao mwaka huu ni mbaya kwao basi ni wewe. Tabiri zako zenye wivu, chuki, fitina, uzandiki na akili za kindezi vimekuumbua vibaya.

Jiandae kwa future ya aibu zaidi.
 
Kocha wa KMC FC na Mtoto wa Mjini Mwenzangu Jamhuri Kihwelo ( alias Julio ) najua leo mmefungwa nao Goli 2 kwa 1 huko Kwao Mbeya na Ijumaa mnarudiana nao Dar es Salaam hivyo tulia wana Simba SC Wenzako tuicheze Kimafia na Kimjinimjini hiyo Mechi uwafunge Goli 3 au 4 kwa bila ili mbakie Ligi Kuu ya NBC na Wao washuke kabisa Daraja.

Mbeya City FC wakiwa wanacheza na Simba SC huwa wanajitoa kwa 150% kutaka Matokeo ila wakicheza na Yanga SC huwa Laini na Nyoro Nyoro huku Wakilazimisha kutaka Kufungwa na Yanga SC na kiukweli huwa Wanafungwa au kutoka Sare ya Kizembe kama ya hivi karibuni baada ya Wao kutangulia kwa Goli 3 ambazo baadae zilirudishwa na Kunikera mno kama siyo sana.

Mbeya City FC washuke tu Daraja.
Uzuri katika kitu umenyimwa ni akili
 
Back
Top Bottom