Baada ya kukaa kanda ya ziwa kwa miaka 5, nimejifunza yafuatayo

Wachapa Kazi za kitandani labda ila wangekuwa wachapakazi basi wangekuwa wafanyabiashara wakuu wa Tzn ,pia umaskini usingetamalaki huko kwao.
 
kuna wanawake kadhaa nimewahi kuwasikia wanasema wanaume wa kisukuma wanajua Sana kucare na kujali wanawake zao


Labda wakioa vyasaka lakini wakioa wasukumuma wenzao wanakuwa washenzi tu!

Hata utulivu huwa mashakani!
 
Roho zao nzuri zinasababisha wahamiaji haram kujifanya wasukuma.

Wanahifadhi wahamiaji haram wengi kanda ya ziwa


Mngemkana akiwa bado yupo yamkini tungeweza kuwaelewa labda, lakini hivi akiwa hayupo inakuwa vigumu kuwaelewa!

Yani ilishaingia kwenye hansad kwamba kumbe ndivyo mlivyo [emoji108][emoji108]

Ujinga wakati wa kwenda kurudi werevu!
 
Mngemkana akiwa bado yupo yamkini tungeweza kuwaelewa labda, lakini hivi akiwa hayupo inakuwa vigumu kuwaelewa!

Yani ilishaingia kwenye hansad kwamba kumbe ndivyo mlivyo [emoji108][emoji108]

Ujinga wakati wa kwenda kurudi werevu!
Usipoyanywa utayaoga
 
Wachapa Kazi za kitandani labda ila wangekuwa wachapakazi basi wangekuwa wafanyabiashara wakuu wa Tzn ,pia umaskini usingetamalaki huko kwao.
Rudi shule kidogo, inaonekana huna unachokijua
 
Kama walikudunga mimba na kukuacha pole sana

Sasa kudungwa mimba wewe unaona ni tatizo?!
Ni ukamilifu!
Nawaheshimu sana watani zangu haitafaa kuandika yakuzidi ikawa kama kuwadharau!
 
[emoji2]
 
Vipi kuhusu urafiki wao nanyama fisi!?? Umesema hawana tamaa ya fedha mbona nasikua mazeruzeru hawana amani kabisa!? Ukimpa ngisha 250000/ anaua albino au wazee wenye macho mekundu!??
Hebu gusia hilo kidogi
 
mi napenda matotoz ya kisukuma yana nizam sana, unapewa maji ya kunywa unapigiwa goti lah!!! safi sana

Wanawake wa kisukuma sio vibaka kama walivo wanawake wa makabila mengine. Ila sasa msivimbe vichwa, maana sio wanawake wote wa kisukuma wenye tabia za kisukuma,

wengine wasukuma bandia wa mijini hakuna kitu hamjui maadili ya kisukuma, ovyooooo sana!!!!
 
Hao sio wachoyo TU!! Lakini kea roho mbaya hawaja onewaaaaa!
 
Umenena vyema, pia kina ngosha ni husband material haswaa.
Karne ya 21! Hii inasaidia nini?
Vipi mchango wao kwenye pato la Taifa?Nenda Arusha uone watu wanavyofsnya shughuri za kiuchumi.
Richa ya kuwa na madini Mengi,Kanda ya ziwa imejaa ujinga,na umaskini.
Unaweza ukaamini njia ya kwenda mgodini Kakola,kutokea Kahama,kuanzia njiapanda ya manzese,ni vumbi tupu.
Kahama Kuna mgodi wa buzwagi,nilitegemea Kahama iwe kama Arusha,lakini wapi!kumejaa magesti tu ya bei rahisi.
Kuanzia Tinde,kagongwa,isaka,ushirombo,mpaka nyakanazi,ardhi yote imejaa madini,wapo matajiri wachache,lakini watu wengi ni mafukara wakutupwa.
Wingi sio hoja,wanaoshika nchi hii ni wenye pesa wachache,maana wapiga kura wa nchi hii wanohongeka kwa kanga na vilemba ni wajinga na ndio wamejaa Kanda ya ziwa.
Nzega,Igunga,Kalumwa,Isakamaliwa Kuna nini zaidi ya ufukara mtupu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…