Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Una lako wewe sio bure. Something like WIVU WA KIKEKuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house
Azam pia halipwi.
Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
sorry mkuu" unisamehe kwa kujichanganya.Una uhakika kwamba Mimi ndiyo Shaffih Dauda Mkuu? Post yako hii sijaielewa.
Kwani uchambuzi wanao ufanya kwenye runinga SI kazi halal?Njaa itawauwa hawa wanajiita wachambuzi wa michezo.... Dr. Leaky alifanya hii kazi akiwa na other sources of money... Sasa hawa wakina Shafi, Jesse John, Kumwembe hawataki kutafuta kazi halali, badala yake wamebaki kuuza sura kwenye runinga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hivi majuzi kukamatwa akihusishwa kutoa ' rushwa ' huko Mkoani Mwanza Mtangazaji, Mkuu wa Vipindi Clouds Media Group ( CMG ) na Mchambuzi wa Masuala ya Michezo nchini Bwana Shaffih Dauda ametangaza rasmi kujitoa kugombea nafasi ya Ujumbe TFF katika uchaguzi Mkuu ujao.
Shaffih Dauda ametangaza uamuzi huo hivi punde tu akiwa anahojiwa na Kipindi maarufa cha 360 cha Cloudstv huku akisema kuwa ameona ajitoe ili kulinda heshima yake katika Jamii na kwamba ana mambo mengi ya kufanya zaidi ya kujihusisha na Uongozi wa TFF halafu akaishia tu kuchukiwa au hata kuwekewa Sumu na wale wanaomchukia.
Nawasilisha.
Acha ukuku, analipwa milioni nane na laki mbili kwa mweziKuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house
Azam pia halipwi.
Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nyingine ukijua kuwa huna ' uhakika ' na unachokijua basi jitahidi sana kuficha ' Uozo ' wako unaokusumbua. Nakupa Kazi fanya tena utafiti wako juu ya nafasi ya Shaffih Dauda hasa ' Kicheo ' hapo CMG. Nasubiri jibu langu tafadhali kabla sija log out dakika 12 au 11 zijazo.
Eddo Kumwembe ni fulltime staff wa MCL na analipwa mshahara na pia ni part time staff wa AzamTV na SupersportKuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house
Azam pia halipwi.
Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achastory wewe southafrica snake end skis hangs majumba ama..siangekaa na mkewe kaama alipwi kha tetea magazeti siokuleKuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house
Azam pia halipwi.
Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo na ile mikataba anayosaini inakuwa ya bure tu au... Azam, Spots pesa,Dstv na Mwanaspoti kote huko anafanya bure....Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house
Azam pia halipwi.
Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app