Baada ya Kukamatwa na TAKUKURU Shaffih Dauda ajitoa kugombea Ujumbe TFF

Baada ya Kukamatwa na TAKUKURU Shaffih Dauda ajitoa kugombea Ujumbe TFF

Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house

Azam pia halipwi.

Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una lako wewe sio bure. Something like WIVU WA KIKE
 
Njaa itawauwa hawa wanajiita wachambuzi wa michezo.... Dr. Leaky alifanya hii kazi akiwa na other sources of money... Sasa hawa wakina Shafi, Jesse John, Kumwembe hawataki kutafuta kazi halali, badala yake wamebaki kuuza sura kwenye runinga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani uchambuzi wanao ufanya kwenye runinga SI kazi halal?
 
Baada ya hivi majuzi kukamatwa akihusishwa kutoa ' rushwa ' huko Mkoani Mwanza Mtangazaji, Mkuu wa Vipindi Clouds Media Group ( CMG ) na Mchambuzi wa Masuala ya Michezo nchini Bwana Shaffih Dauda ametangaza rasmi kujitoa kugombea nafasi ya Ujumbe TFF katika uchaguzi Mkuu ujao.

Shaffih Dauda ametangaza uamuzi huo hivi punde tu akiwa anahojiwa na Kipindi maarufa cha 360 cha Cloudstv huku akisema kuwa ameona ajitoe ili kulinda heshima yake katika Jamii na kwamba ana mambo mengi ya kufanya zaidi ya kujihusisha na Uongozi wa TFF halafu akaishia tu kuchukiwa au hata kuwekewa Sumu na wale wanaomchukia.

Nawasilisha.

Sumu tena kwani mwanzo wakati anagombea hakuyajua hayo[emoji57][emoji23]
 
Ila bna wabongo mna roho za chuki sna waacheni watu watafute mkate wao kihalali. Me nilitegemea mngekua mnadiscuss siasa chafu za Tff hadi kupelekea mtu ajitoe kugombania ujumbe tu wa kamati ila naona topic imekua nani analipwa na nani alipwi.


Simple minds discuss people,great minds discuss ideas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house

Azam pia halipwi.

Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ukuku, analipwa milioni nane na laki mbili kwa mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Siku nyingine ukijua kuwa huna ' uhakika ' na unachokijua basi jitahidi sana kuficha ' Uozo ' wako unaokusumbua. Nakupa Kazi fanya tena utafiti wako juu ya nafasi ya Shaffih Dauda hasa ' Kicheo ' hapo CMG. Nasubiri jibu langu tafadhali kabla sija log out dakika 12 au 11 zijazo.

upload_2017-7-28_10-53-43.png
 
Amefanya uamuzi wa busara, amefanikiwa ku-pre empty mtazamo kuwa uongozi TFF ni kitu muhimu kwake wakati yapo mengi ya kufanya.

Vv
 
Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house

Azam pia halipwi.

Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Eddo Kumwembe ni fulltime staff wa MCL na analipwa mshahara na pia ni part time staff wa AzamTV na Supersport
 
Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house

Azam pia halipwi.

Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achastory wewe southafrica snake end skis hangs majumba ama..siangekaa na mkewe kaama alipwi kha tetea magazeti siokule
 
Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house

Azam pia halipwi.

Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo na ile mikataba anayosaini inakuwa ya bure tu au... Azam, Spots pesa,Dstv na Mwanaspoti kote huko anafanya bure....

Yaani mtu ana tiketi ya ndege kwenda na kurudi msimu mzimu halafu unasema halipwi?

Acha masikhara bwana.
 
SHAFFIH DAUDA AJITOA UCHAGUZI WA TFF.

Mkuu wa Vipindi wa [HASHTAG]#cloudsfm[/HASHTAG] ambaye pia ni mdau mkubwa wa mpira wa Miguu, Shaffih Dauda ametangaza kujitoa rasmi kwenye mchakato wa uchaguzi wa [HASHTAG]#TFF[/HASHTAG].

@shaffih amesema amefikia hatua hiyo baada ya kuona mbinu na siasa chafu zinazoendeshwa dhidi yake. " Mimi ni mfanyakazi wa [HASHTAG]#CloudsMediaGroup[/HASHTAG], nilikwenda Mwanza kwa ajili ya kazi. Hapa [HASHTAG]#Clouds[/HASHTAG] tumelelewa kufanya kazi kwa bidii kufikia malengo na sitaki mambo yangu binafsi ( kugombea uongozi TFF ) kuharibu malengo ya [HASHTAG]#NdondoCup[/HASHTAG] na Taasisi kwa ujumla. Pia nimehangaika kutengeneza jina langu kwa miaka mingi. Natangaza kujitoa rasmi, na nitaendelea kuchangia kwenye maendeleo ya soka nchi hii nikiwa sio kiongozi " @shaffih.
74c15982f31b184fa8f7449bfd25cf60.jpg


Source clouds tv
 
Back
Top Bottom