Baada ya Kukamatwa na TAKUKURU Shaffih Dauda ajitoa kugombea Ujumbe TFF

Baada ya Kukamatwa na TAKUKURU Shaffih Dauda ajitoa kugombea Ujumbe TFF

Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house

Azam pia halipwi.

Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuwa na nia ya kukomenti kitu ila umenifanya ni comment

Aisee bro jitahidi sana kuficha kiwango cha ujinga ulicho nacho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SHAFFIH DAUDA AJITOA UCHAGUZI WA TFF.

Mkuu wa Vipindi wa [HASHTAG]#cloudsfm[/HASHTAG] ambaye pia ni mdau mkubwa wa mpira wa Miguu, Shaffih Dauda ametangaza kujitoa rasmi kwenye mchakato wa uchaguzi wa [HASHTAG]#TFF[/HASHTAG].

@shaffih amesema amefikia hatua hiyo baada ya kuona mbinu na siasa chafu zinazoendeshwa dhidi yake. " Mimi ni mfanyakazi wa [HASHTAG]#CloudsMediaGroup[/HASHTAG], nilikwenda Mwanza kwa ajili ya kazi. Hapa [HASHTAG]#Clouds[/HASHTAG] tumelelewa kufanya kazi kwa bidii kufikia malengo na sitaki mambo yangu binafsi ( kugombea uongozi TFF ) kuharibu malengo ya [HASHTAG]#NdondoCup[/HASHTAG] na Taasisi kwa ujumla. Pia nimehangaika kutengeneza jina langu kwa miaka mingi. Natangaza kujitoa rasmi, na nitaendelea kuchangia kwenye maendeleo ya soka nchi hii nikiwa sio kiongozi " @shaffih.
74c15982f31b184fa8f7449bfd25cf60.jpg


Source clouds tv
Kama mwandishi mwenye weledi ulipaswa kutambua hilo kabla ya kugombea nafasi ya uongozi TFF. Kumbuka katika kugombea uongozi wowote mambo yako binafsi si siri tena, kama utakuwa unasifa mbaya zitahusishwa na uongozi tu. Hata hivyo ukiyavulia maji nguo ni sharti uyaoge na si kuleta malalamiko kama hayo, vinginevyo hukupaswa kuingia kwenye kinyang"anyiro hicho wakati wewe si stable kuimiri mikikimikiki kama hiyo.
 
Hata juzi tu katika moja ya posts zangu kuna mahala nilimlaumu sana Shaffih Dauda kujiingiza rasmi katika kutaka ' Uongozi ' ndani ya Soka la Bongo ambalo binafsi siogopi kusema kwamba limejaa Uhuni na lina Wahuni wengi ambao hata uwezo wao wa ' Kufikiri ' ili kulinusuru Soka la Tanzania ni mdogo mno.

Tatizo Dauda alidanganywa sana na Rafiki yake ' Mjanja Mjanja ' Kiongozi wa DRFA Bwana Almasi Kasongo kuwa ajikite TFF wakati ukweli ni kwamba huyo Bwana Kasongo kuna ' mteremko ' fulani wa ' Kimaslahi ' alikuwa anautaka na ameshaanza pia kuupata kupitia ' Ndondo Cup ' hivyo muda mwingi akawa anamuhadaa Shaffih Dauda.

Sasa mambo yameshaharibika kama hivi huku ' Credibility ' yake ikiwa tayari imeshaathirika leo ndiyo anaamua kujitoa katika Kinyang'anyiro. Kwa Mtu mwenye Elimu kubwa na nzuri kama ya Dauda na Mtu ambaye anajitambua kamwe hawezi kuthubutu kugombea Uchaguzi ndani ya TFF hii iliyojaa Wahuni na Mchwa watupu.

Hili liwe fundisho kwa wengine!
Ametoa rushwa au hajatoa? Tuanzie hapo kwanza...punguza mahaba kwa Dauda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mwandishi mwenye weledi ulipaswa kutambua hilo kabla ya kugombea nafasi ya uongozi TFF. Kumbuka katika kugombea uongozi wowote mambo yako binafsi si siri tena, kama utakuwa unasifa mbaya zitahusishwa na uongozi tu. Hata hivyo ukiyavulia maji nguo ni sharti uyaoge na si kuleta malalamiko kama hayo, vinginevyo hukupaswa kuingia kwenye kinyang"anyiro hicho wakati wewe si stable kuimiri mikikimikiki kama hiyo.

Ana elimu gani ya Uandishi wa habari?
 
Sio michezo tu

Shaffih Dauda ndio Mkuu wa vipindi wa clouds Kwa sasa akichukua nafasi kama sikosei Sebastian Maganga or Simon Simalenga

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huyo Simon Simalenga Yeye ni Afisa Mahusiano tu wa Clouds Media Group na hata huyo Sebastian Maganga nae bado yupo na kama sijakosea ' Kicheo ' hapo Yeye ni baada ya Ruge ukiachia mbali ' Taita ' mwenyewe Joseph Kusaga na Mkewe. Shaffih Dauda ni Mkuu tu upande wa Radio huku kama sijakosea katika Tv Bosi kule ni Mwanadada Joyce Shebe ( ambaye hata hivyo nasikia kabadili dini Kisirisiri kuwa Muislamu na hadi pia kuolewa Kisirisiri ) akishirikiana na Kijana wa miaka ya kati Jerome Risasi huku upande wa Choice fm Bosi wao Mkuu akiwa ni Mpenda ' Kujiremba ' Antonio Nugas a.k.a Mtembezi.
 
Back
Top Bottom