Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Ungefaidika kila ganiTena huyu boya huwa anatuandama sana Arsenal bora takukuru wangemlaza kama jamaa mkuu wa TFF akili imkae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungefaidika kila ganiTena huyu boya huwa anatuandama sana Arsenal bora takukuru wangemlaza kama jamaa mkuu wa TFF akili imkae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na dogo ndugu yangu anatuma tuma hadithi kwenye magazeti, zikichapishwa alikuwa analipwa sembuse makala za kiufundi za kina Eddo ?! Wachambuzi wote Duniani wanalipwa, halafu dstv unawaona wana pesa ya mawazo ? ....aisseeh wewe ndo wale wanaitwa makanjanja !Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house
Azam pia halipwi.
Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shaffih Dauda ni Mkuu wa Idara ya Vipindi vya Michezo.
Huyo jamaa hajielewiNilikuwa na dogo ndugu yangu anatuma tuma hadithi kwenye magazeti, zikichapishwa alikuwa analipwa sembuse makala za kiufundi za kina Eddo ?! Wachambuzi wote Duniani wanalipwa, halafu dstv unawaona wana pesa ya mawazo ? ....aisseeh wewe ndo wale wanaitwa makanjanja !
We in bwana Ruuuuuu geeee nini mbona mkwara huo mtoa hoja hatakuwa na majibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku nyingine ukijua kuwa huna ' uhakika ' na unachokijua basi jitahidi sana kuficha ' Uozo ' wako unaokusumbua. Nakupa Kazi fanya tena utafiti wako juu ya nafasi ya Shaffih Dauda hasa ' Kicheo ' hapo CMG. Nasubiri jibu langu tafadhali kabla sija log out dakika 12 au 11 zijazo.
.....umerukia nyumba ! Kuna wahindi hapo mjini matajiri lakini hawana shamba, nyumba wala viwanja, wao wamepanga National Housing tuKwanza Mkuu umenikisea heshima. Among all unanifananisha na Lisu, kweli?...
Pili, kwenda kuona mechi is it a big deal?.... Wambie wakuonyeshe nyumba walizojenge ndio big deal hapa town... Hawa macelebrity kama huwajui watakupa shida sana ila ukiwa unawajua utajua how they live in usanii way hapa mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lenu ni wenga na si Shaffi !Tena huyu boya huwa anatuandama sana Arsenal bora takukuru wangemlaza kama jamaa mkuu wa TFF akili imkae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huyu boya huwa anatuandama sana Arsenal bora takukuru wangemlaza kama jamaa mkuu wa TFF akili imkae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hivi majuzi kukamatwa akihusishwa kutoa ' rushwa ' huko Mkoani Mwanza Mtangazaji, Mkuu wa Vipindi Clouds fm na Mchambuzi wa Masuala ya Michezo nchini Bwana Shaffih Dauda ametangaza rasmi kujitoa kugombea nafasi ya Ujumbe TFF katika uchaguzi Mkuu ujao.
Shaffih Dauda ametangaza uamuzi huo hivi punde tu akiwa anahojiwa na Kipindi maarufa cha 360 cha Cloudstv huku akisema kuwa ameona ajitoe ili kulinda heshima yake katika Jamii na kwamba ana mambo mengi ya kufanya zaidi ya kujihusisha na Uongozi wa TFF halafu akaishia tu kuchukiwa au hata kuwekewa Sumu na wale wanaomchukia.
Nawasilisha.
Kwani hizo sio kazi halali?Njaa itawauwa hawa wanajiita wachambuzi wa michezo.... Dr. Leaky alifanya hii kazi akiwa na other sources of money... Sasa hawa wakina Shafi, Jesse John, Kumwembe hawataki kutafuta kazi halali, badala yake wamebaki kuuza sura kwenye runinga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejitahidi sana shafii kwa uamuzi huo. Angalau nakupongeza kwa kujilinda na mashambulizi yajayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wewe una lao jambo.Kwanza Mkuu umenikisea heshima. Among all unanifananisha na Lisu, kweli?...
Pili, kwenda kuona mechi is it a big deal?.... Wambie wakuonyeshe nyumba walizojenge ndio big deal hapa town... Hawa macelebrity kama huwajui watakupa shida sana ila ukiwa unawajua utajua how they live in usanii way hapa mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Je umefanya uchunguzi ukajiridhisha kuwa hao ambao umewataja hawana ajira? Usiandike kitu kama huna uhakika nacho.
This can only happen mong people with simple minds.Kuandika Makala Mwanaspoti hulipwi bana. Nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kwenye media house
Azam pia halipwi.
Hiyo ya south anaenda kama mchambuzi. Which i dont think kama wanalipwa salary. Kama wachambuxi wangekuwa wanalipwa basi Supersport watakuwa na ela zaidi ya ACACIA manake kila siku wana wachambuzi wapya, tena kutoka mataifa mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app