Gene da beauty
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 446
- 830
Hicho kitu kingine mkuu KE anayetaka uhudumie ukoo wke huyo xx niwakupozana tu but kumhudumia mchumba yeye kama yy nayo ni kesi??coz ndoa inafata baada ya uchumba INA maana hutomgusa mpka ndoa?!tunazungumzua huduma za kawaida kwa mpnz wko CIO wale wachunaji [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu ndo uanaume huo pambana na hali yko!!Mkawageuze MPESA wengine siyo mimi..! Mchumba tu unaniletea majukumu ya baba yako.?? Watu wa kusaidia wako wengi viwete, wazee, watoto, wagonjwa na wasijiweza..! Bora nikajipatie thawabu mbinguni nitamhudumia mke wangu tu na tena kutegemea uwezo wangu sipelekeshwi kijinga etii..!
Eti kumgusa hivi nikitaka kumgusa lazima nimhudumie kwani nauziwa?? Iko hivi pesa yangu kwa mwanamke huwa ni kupewa accidentally ila usikae unihesabie eti lazima nikuhudumie nikijisikia not grantee wala lazima.Hicho kitu kingine mkuu KE anayetaka uhudumie ukoo wke huyo xx niwakupozana tu but kumhudumia mchumba yeye kama yy nayo ni kesi??coz ndoa inafata baada ya uchumba INA maana hutomgusa mpka ndoa?!tunazungumzua huduma za kawaida kwa mpnz wko CIO wale wachunaji [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu ndo uanaume huo pambana na hali yko!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuu kama ndo sample unazokutana nazo;yaani demu wko hawezi kukupa huduma for free mpka umtoe??hyo ni kind of business bana mi nazungumzia KE czungumzii wadangaji my!!Eti kumgusa hivi nikitaka kumgusa lazima nimhudumie kwani nauziwa?? Iko hivi pesa yangu kwa mwanamke huwa ni kupewa accidentally ila usikae unihesabie eti lazima nikuhudumie nikijisikia not grantee wala lazima.
Kusaidia naweza ila siyo lazima ata yeye anaweza nisaidia pia. Ila kupeana majukumu ya kuhudumiana km vile nimekuwa mzazi wake anikome..! Nitamfundisha namna ya kutafuta pesa siyo kukinga mikono kama MATONYA mnaboa sana kuombaomba kama mizimu..[emoji135][emoji135][emoji135]
bungeCjaelewa mantiki yko hasa mkuu!!KE kutokuwa na kz vinahusiana nn na umri wke?!au kutokuolewa?hajakutana na hii mkuu mkeo akiwa na laki 5 ww una laki 2 hesabu ndani ya nyumba mnajumla ya laki 2 na CIO laki saba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]!!poleni xana wakaka mnaoogopa maisha!!
poleDuu hapo kwenye UREFU ndy nimefeli....umesema Futi 5? sasa mm nina FUTI 3 urefu wangu...ni sawa na NDOO ZA MAJI 2...UKIZISIMAMISHA..jaribu kutoa hcho kipengele cha UREFU PLZ
Sent using Jamii Forums mobile app
nayo ni kaziMimi vigezo ninavyo vyote kazi nachoma chips.....ila naogopa kuja PM nisije tekwa maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pm nikuoe japo kuwa huna qualitynayo ni kazi