Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Mkawageuze MPESA wengine siyo mimi..! Mchumba tu unaniletea majukumu ya baba yako.?? Watu wa kusaidia wako wengi viwete, wazee, watoto, wagonjwa na wasijiweza..! Bora nikajipatie thawabu mbinguni nitamhudumia mke wangu tu na tena kutegemea uwezo wangu sipelekeshwi kijinga etii..!
Hicho kitu kingine mkuu KE anayetaka uhudumie ukoo wke huyo xx niwakupozana tu but kumhudumia mchumba yeye kama yy nayo ni kesi??coz ndoa inafata baada ya uchumba INA maana hutomgusa mpka ndoa?!tunazungumzua huduma za kawaida kwa mpnz wko CIO wale wachunaji [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu ndo uanaume huo pambana na hali yko!!
 
Hicho kitu kingine mkuu KE anayetaka uhudumie ukoo wke huyo xx niwakupozana tu but kumhudumia mchumba yeye kama yy nayo ni kesi??coz ndoa inafata baada ya uchumba INA maana hutomgusa mpka ndoa?!tunazungumzua huduma za kawaida kwa mpnz wko CIO wale wachunaji [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu ndo uanaume huo pambana na hali yko!!
Eti kumgusa hivi nikitaka kumgusa lazima nimhudumie kwani nauziwa?? Iko hivi pesa yangu kwa mwanamke huwa ni kupewa accidentally ila usikae unihesabie eti lazima nikuhudumie nikijisikia not grantee wala lazima.

Kusaidia naweza ila siyo lazima ata yeye anaweza nisaidia pia. Ila kupeana majukumu ya kuhudumiana km vile nimekuwa mzazi wake anikome..! Nitamfundisha namna ya kutafuta pesa siyo kukinga mikono kama MATONYA mnaboa sana kuombaomba kama mizimu..[emoji135][emoji135][emoji135]
 
Eti kumgusa hivi nikitaka kumgusa lazima nimhudumie kwani nauziwa?? Iko hivi pesa yangu kwa mwanamke huwa ni kupewa accidentally ila usikae unihesabie eti lazima nikuhudumie nikijisikia not grantee wala lazima.

Kusaidia naweza ila siyo lazima ata yeye anaweza nisaidia pia. Ila kupeana majukumu ya kuhudumiana km vile nimekuwa mzazi wake anikome..! Nitamfundisha namna ya kutafuta pesa siyo kukinga mikono kama MATONYA mnaboa sana kuombaomba kama mizimu..[emoji135][emoji135][emoji135]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuu kama ndo sample unazokutana nazo;yaani demu wko hawezi kukupa huduma for free mpka umtoe??hyo ni kind of business bana mi nazungumzia KE czungumzii wadangaji my!!

Kuna wanaume hawajui kujiongeza ndo ninaowapoint mm yaani bila kumuomba huon senti yke;ilA ukitimiza majukumu yko kwa girl wko au mke wko afu awe gud upstairs no stress!!

Wa Nipe nikupe hawaingii hpa mkuu hao ni noo future wackuumize kichwa!!!
 
Duu hapo kwenye UREFU ndy nimefeli....umesema Futi 5? sasa mm nina FUTI 3 urefu wangu...ni sawa na NDOO ZA MAJI 2...UKIZISIMAMISHA..jaribu kutoa hcho kipengele cha UREFU PLZ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cjaelewa mantiki yko hasa mkuu!!KE kutokuwa na kz vinahusiana nn na umri wke?!au kutokuolewa?hajakutana na hii mkuu mkeo akiwa na laki 5 ww una laki 2 hesabu ndani ya nyumba mnajumla ya laki 2 na CIO laki saba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]!!poleni xana wakaka mnaoogopa maisha!!
bunge
 
Ukimpata huko PM na ukajiridhisha ndio yule unayemtaka ulete mrejesho, na kama ukiachika uje utuambie tukusaidie kwani wengine tunataka wajane na sio nyinyi sealed.
 
Ukimpata huko PM na ukajiridhisha ndio yule unayemtaka ulete mrejesho, na kama ukiachika uje utuambie tukusaidie kwani wengine tunataka wajane na sio nyinyi sealed.
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaha sawa
 
Wanaume waoeni wanawake sio mpaka waambieni.. au ndio ule mstari wa kwenye biblia wakati wake umefika? Wanawake saba watakuja na kukuomba uwaoe na wao watajihudumia kwa chakula na kila kitu wewe ni kuwaondolea kadhia wapatazo njiani kuwa hawajaolewa.. waoeni nafasi wabebe majina yenu
 
Back
Top Bottom