pirates lil
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 958
- 912
Kila laheri [emoji6]Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulefu futii 5
Baada ya hapo mahusiano yafe.
mtoto ntamlea mwenyewe.
Sitaki kufatiliana kwa lolote
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako ntakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako
Narudia sitaki maneno mengi pm
sms ya kwanza andika nazalisha
ya pili tuma picha
ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae
PM IPO WAZI
Naunga mkono hojahahaha kwa huu ujeuri ulojaa kwenye uandish wako inaelezea kwann hupati mume na naamin hata huyo wa kukuzalisha utamkosa pia
Sent using Jamii Forums mobile app
EWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANimekuta tangazo hili mahali,
Lifuatilie mitandaoni mleta mada:
TENGAZO! TENGAZO! TANGAZO!!
NINAZALISHA.
-bao moja bila kukupa raha (hii ni one minute chomeka) 150,000Tshs;
-bao moja na nusu na kukupa romansi (wan emu Tshs).
-kukuachia ujipimie, emu tano!!
Wanawake wote mnakaribishwa!
Pia wanaume ambao wake/ wawawake zenu wameshindwa zaa, nadili na hili pia, na mtoto anatoka anafanana na banake!
Note: Kuna punguzo la bei kwa wenye misambwanda ya haja (wale wa kiuno dondola zigo hilo) na kei mnato!
nipelekeeKwan ulo kuwa unadate nao previous ....hawakuwa na uwezo Wa kukupa ujauzito au mlishindwana tabia ,walikuwa wabaya kwa sura na kama jibu NDIYO/HAPANA....iweje ukose mchumba? Na sasa unataka huyu Mwenye kigezo cha rangi eupe nenda manyara wapo kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona haujajibu pm yangu..[emoji34] [emoji34]njooooooooooo
Nashauri chukua "kifurushi" cha kujipimia!EWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA