Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu


Zamu yangu sasa kujipatia mke JF.

Sifa zote ninazo.

Tukutane PM.
 
NEW MEMBER wanaongoza kwa kutafuta wachumba asee.Kwanini wasitafute huko insta na fb ambako kuna pichq kabisa???
Wewe umejuaje kama ni new member? Kwani kuna limitations za umiliki wa account zaid ya moja jf?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…