[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Si mchezo vijana fursa hiyo[emoji41]
Pambana na hali yako wazi wazi sio kwa kujificha kwenye komputa. Mchana unakwepana na wanaume unawazarau eti unataka mwenye kazi, gari , nyumba na maisha bora sisi wasukuma toroli unatukimbia halafu unakuja huku kulanamika. Jitokeze wazi hadharani kama huyu NYAMBURA wa KENYA alivyofanyaNatafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm
Tuma picha na namba yako
sitaki maelezo mengi sana
kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
Njoo kwanguHali ngumu mpaka wanaume wamegoma kutongoza watu wanajifia na genye mitaani kweli tunaisoma namba, wanawake tutembee na mabango Kama Yule mama WA kikenya Hali tata.
hahahahhahhahahhahhahhahah🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ckucheka tangu asubuh, asante sana leo ntalala vizuriKuolewa umeenda mbali kupata tu wa kumtoa kutu
Msaidie mwenzio mpe hata kaka yako
NDUUUUVAku..nini?[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapana mkubwa Niko serious[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaa unaleta utani na majina ya watuu
Jina la mtu bhanaaaaaunatusi
Ndugu kwa vigezo ulivyoweka nenda kwenye gym iliyokaribu nawe. hutajutiaNatafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm
Tuma picha na namba yako
sitaki maelezo mengi sana
kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
😱😱😱😱Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm
Tuma picha na namba yako
sitaki maelezo mengi sana
kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
Yaani wewe unavituko aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora muwe na mabango kabisa sasa eeeh!Hali ngumu mpaka wanaume wamegoma kutongoza watu wanajifia na genye mitaani kweli tunaisoma namba, wanawake tutembee na mabango Kama Yule mama WA kikenya Hali tata.
Vigezo vyote nnavyo ila mi mweusi..mashine iko standard..Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm
Tuma picha na namba yako
sitaki maelezo mengi sana
kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu