Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Si mchezo vijana fursa hiyo[emoji41]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]   [emoji100][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm

Tuma picha na namba yako

sitaki maelezo mengi sana

kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
Pambana na hali yako wazi wazi sio kwa kujificha kwenye komputa. Mchana unakwepana na wanaume unawazarau eti unataka mwenye kazi, gari , nyumba na maisha bora sisi wasukuma toroli unatukimbia halafu unakuja huku kulanamika. Jitokeze wazi hadharani kama huyu NYAMBURA wa KENYA alivyofanya
1621018.jpg
 
Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm

Tuma picha na namba yako

sitaki maelezo mengi sana

kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
Ndugu kwa vigezo ulivyoweka nenda kwenye gym iliyokaribu nawe. hutajutia
 
Mbona kule PM hujibu?

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]   [emoji100][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm

Tuma picha na namba yako

sitaki maelezo mengi sana

kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
😱😱😱😱
 
Wataka sifa nyingi kwa mwanaume, nawe weka sifa zako na picha juu..mambo usawa siku hizi..
 
Hali ngumu mpaka wanaume wamegoma kutongoza watu wanajifia na genye mitaani kweli tunaisoma namba, wanawake tutembee na mabango Kama Yule mama WA kikenya Hali tata.
Yaani wewe unavituko aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora muwe na mabango kabisa sasa eeeh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm

Tuma picha na namba yako

sitaki maelezo mengi sana

kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
Vigezo vyote nnavyo ila mi mweusi..mashine iko standard..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom