Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Ukiona mwanamke kila mwanaume anayempata anamuacha bila shaka tabia hizi lazima awe nazo

1)Kuomba omba hela hovyo

2)Kutozingatia usafi was mwili na mavazi.

3)Hawezi kupika.

4)Jeuri na kisirani kisichokwisha.

5)Mswahili swahili

6)Kutotambua thamani ya mume/mpenzi aliye naye.

7)Hana mawazo positive sana sana kuhusu Uchumi na bidii ya kazi.

8)Mvivu kitandani.

9)Kuwa na kasoro katika maumbile yake ya siri mfano wa kasoro kuu no Harufu Kali kutoka ukeni.

10)Kutowaheshimu wakweze na ndugu wa mume.
 
Malikia wa nguvu wako bize kusaka maisha wewe unahangaika na dudu, fanya utakavyo mwili wako wala haulipii chochote.
 
MDADA kwanza jione wa thamani machoni pa mungu, kwanini uwe kahaba? ili kupata mwanaume wa kufanana na wewe anza kwanza kubadilika wewe, usidhani mungu atakupa mwanaume mzuri mcha mungu wakati wewe sio mcha mungu Never mungu humpa mtu wakufanana naye, usimkatie mungu tamaa wakati kusudi alilokuleta duniani bado hujatimiza be humble to every one, then sema mungu baba nimebadilika, na ubadilike kweli then siku akija huyo handsome utajiuliza hivi huyu malaika au mtu?
Mkuu unayempa ushauri mbn mda huu yupo badoo online kapost paja
MDADA kwanza jione wa thamani machoni pa mungu, kwanini uwe kahaba? ili kupata mwanaume wa kufanana na wewe anza kwanza kubadilika wewe, usidhani mungu atakupa mwanaume mzuri mcha mungu wakati wewe sio mcha mungu Never mungu humpa mtu wakufanana naye, usimkatie mungu tamaa wakati kusudi alilokuleta duniani bado hujatimiza be humble to every one, then sema mungu baba nimebadilika, na ubadilike kweli then siku akija huyo handsome utajiuliza hivi huyu malaika au mtu?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vumilia.

Mvumilivu hula Mbivu.

Ni suala la Muda tu.

Wakati ukifika, wewe mwenyewe utashangaa jinsi mambo yanavyokwenda
 
Hivi wanatafuta weeee kwani wamepotea huko mtaani.sehemu nzuri za kupata wake na waume ni kwenye mikusanyiko ya watu wengi,nakuja hapa na masharti mengi wakati huko m itaani mnako waona wenye igezo Hawaii,ukileta Uzi wanatafuta ukubali mwanaume yeyote yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejalibu kutembelea kijijini kwenu umekosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikwambie kitu kizuri wewe.ni sawa Na MTU mwanga
JF walianzisha Jukwaa hili kwa jili ya hivi
Wewe kinakuuma Dada wa Watu kujipatia mume??dhambi gani kufanya Na why ufungue hapa kama huamini
Eti.kijijini umeshindwa kupata maana ya science Na technology unayajua Wewe.
Acha mawazo mgando Na nenda kafungue Jukwaa la Siasa mana huku hupaweze.Hujaitwa Na hatuhitaji Watu kama nyie.Mawazo Negative!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom