BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Kila la heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio utagundua kuwa huyu ni m****a hapa kaja kujitangaza, kwanini asiende badoo? Maana kule wenzake wanatangaza live vyote wanavyouza pamoja na huduma nyingine wanazotoa.Natafuta mwanaume wa kuniliwaza basi
Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu
Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
Pole sana thread zote hizi walipita tu.......ila usiende huko ipo siku yako tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Za uso, atakua ameelewaHapo ndio utagundua kuwa huyu ni m****a hapa kaja kujitangaza, kwanini asiende badoo? Maana kule wenzake wanatangaza live vyote wanavyouza pamoja na huduma nyingine wanazotoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa kahaba ndiyo utapata? Jichunguze una tatizoNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Msikilize huyo Dada, anajutia kujikuta hapo
Mmh wewe acha kumdanganya mwenzako etii. Kakuambia nani atampata bwana kwa staili hiyo! Hebu fanya maombi ya kweli na utubu kila kitu kinawezekana kwa maombi ya kweli ila si kuwa kahaba eti utampata bwana labda wa mabwana tuu ila bwana wa kukuoa.Kuwa kahaba tu ukiona mwanaume unamuelewa unakomaa hapohapo hawa watu ukijifanya wife material utachachia nyumban usiwasikilize ushangai wale micharuko Ndio kila kukicha wanaolewa jichanganyee tu.
Mkuu kwa hiyo unamshauri!haulipi kodi...wala haina cha mashine ya EFD.
Mpenzi Kundu we ndo umeandika haya?Kuwa kahaba tu ukiona mwanaume unamuelewa unakomaa hapohapo hawa watu ukijifanya wife material utachachia nyumban usiwasikilize ushangai wale micharuko Ndio kila kukicha wanaolewa jichanganyee tu.
Pole Mungu akutie nguvu...pia akutane na hitaji lako.nimechoka
Asiwe Malaya,awe kahaba. Kazi nzuri haulipi hata kodi,yeye tu na mwili wake. Na maamuzi yake
Kwa kweli mkuu hebu msitiri huyo dadaUsiwe kwanza kahaba, naomba hiyo nafasi.. Wenye mapenzi ya kweli bado tupo..
Pole sana, kwa bahati nzuri nimeiona hii post wakati nipo hapa bar ya mi casa. Huwa naongea na wanawake walioamua kuwa makahaba wengi wao wanajutia sana kazi hii na wengine walifungiwa kinguvu kwenye madanguro baada ya kudanganywa kuwa wakifika mjini watapewa kazi nzuri au kusomeshwa shule nzuri tofauti na za kijijini.Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume