Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Pole mdada...usikate tamaa utampata atakae kupenda kwa dhani
 
Kuwa kahaba tu ukiona mwanaume unamuelewa unakomaa hapohapo hawa watu ukijifanya wife material utachachia nyumban usiwasikilize ushangai wale micharuko Ndio kila kukicha wanaolewa jichanganyee tu.
Hili lina ukweli kwa kiasi flan, nilishuhudia.
 
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Mpaka hapo wewe ni kahaba tayari..!

YATOKAYO MTU KINYWANI NDIYO YAUJAZAYO MOYO WAKE.

Ushauri uko hivi ukiona upati mtu wa ukweli ujue na wewe siyo wa ukweli..!
 
Binti yangu kihuba nimesoma kwa masikitiko sana, bahati nzuri nimekutana na Makahaba na nimeongea nao wengi sana, tumebadilishana mawili au matatu, wengi wanajutia, wengi wanalia bahati mbaya hakuna nafasi ya kurejea nyuma. Nakusihi sana sana, hilo wazo sio jema kabisa. Unataka upenedweje? Whitney Hauston (RIP) aliimba, The Greatest Love of All is learning to Love yourself, so Dear Learn to Love yourself, jione kuwa you are the best and usiruhusu mtu achukue furaha yako. Ndimi Elli
Huyo Houston kafa kwasababu ya penzi la jamaa..! Hakuna penzi la mtu kujipenda hizo huwa ni desperate/defense mechanism. Adam aliubwa mwenyewe kashindwa kujipenda mpk alipopata Eva kila jambo likaenda.
 
Ooh. Buddy,I'm fine. How are you?
Hiyo maneno ya mwisho ndio ina maana gani?
1488988_281367365356888_520344039_n.jpg
 
Back
Top Bottom