Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa 0713 tutaweka kambi na kukuoaNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
mkuu kwanza kabisa jikubali acha kukata tamaa kizembe watu wanalilia jinsi ulivyo we unataka kujirahisisha.
TuwasilianeHabari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo awe na mapezi ya dhati
Kwa upande wangu sijawai zaa,sijawai olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
NB:Naitaji mwanaume maji ya kunde asiwe mweupe wala mweusi lizingatiwe wapendwa
HahahaTena ufanye kisasa! Anzisha kundi la whatsap then toa link.
yaani unataka uharibu maisha yako kwa sababu ya ubinafsi wa watu.......think twiceNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
atakua na shida huyu anahitaji msaadaHizi hapa ni baadhi ya thread zako:
1. Kama unatafuta mke njoo hapa
2. Natafuta mwanaume wa kuniliwaza basi
3. Bado nasaka mchumba
4. Mwanaume anayehitaji mke karibu
5. Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa naye tu
6. Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
kumbe analeta mbwembwe tu hapaww achaunafki unaongea umekosa wakti kila siku na ku pm hata hujibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
anatuletea sanaa huyu
Wndelea uko vizuriNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume