Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Akili iliponza kichwa!Ungana na AggyJay maana inawezekana wote hamjajielewa ndio maana mnawazia ujinga!Biashara ni matangazo lakini kwa mahusiano ukijitangaza ndio unazidi kupotea!Otherwise uniambie hauna shughuli rasmi/wala hauna kipato chochote cha kujikimu na unatafuta mwanaume wa kukuhudumia!lakini kama uko stable kimaisha na unajielewa,una kipato basi huna sbb ya kutangazia umma ya JF kuwa ukahaba ndio solution!Jifikirie mara mbili!Aliyejikomboa kielimu na mwenye mawazo mazuri daima kamwe hawezi fikiria hivyo
 
Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo awe na mapezi ya dhati

Kwa upande wangu sijawai zaa,sijawai olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.

Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm

NB:Naitaji mwanaume maji ya kunde asiwe mweupe wala mweusi lizingatiwe wapendwa
Tuwasiliane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usibembeleze saana kupendwa na binadamu, kama hawakupendi achana nao, nenda kwa Mungu, upendo wake hauna gharama
 
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
yaani unataka uharibu maisha yako kwa sababu ya ubinafsi wa watu.......think twice
 
Hizi hapa ni baadhi ya thread zako:

1. Kama unatafuta mke njoo hapa
2. Natafuta mwanaume wa kuniliwaza basi
3. Bado nasaka mchumba
4. Mwanaume anayehitaji mke karibu
5. Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa naye tu
6. Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
atakua na shida huyu anahitaji msaada

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Huwezi kupata mwanaume wa ukweli kama wewe mwenyewe haupo vizuri,mwanaume unakutana nae leo hata mgando,madoido huna unamkubali,humjui hata hujawahi kumuona kesho ushachanua miguu juu na kelele nying za mahaba,kujirahisi sana nako kunachangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpo na uzima wakuu leo naleta uzi kwenu,

Natafuta mume'

Mkristo na umri wake 29-40.
Awe maji ya kunde au mweupe.

NB: Mwenye sifa tuma picha yako na namba za simu jieleze kwa ufupi kuhusu wewe tofauti na hapo sito jibu sms yoyote.

Sifa zangu nina umri wa 26;
Mcheshi
Mnene kiasi
Mwenye msimamo thabiti
Siteteleki kwa mwanaume asiejielewa
Sina mtoto na sijawai zaa
Mweusi kiasi

NB; Napenda mziki, mtunzi wa story na ninapenda kupika sana nipo shap kwa kazi za nyumbani naweza kumlea mwanaume kama mtoto.
 
Back
Top Bottom