Aiseee.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]M***nzi tu huyo, akitumiwa PM hajibu sasa anategemea apate bwana toka mbinguni au? Ana sanifu watu tu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unayempa ushauri mbn mda huu yupo badoo online kapost pajaMDADA kwanza jione wa thamani machoni pa mungu, kwanini uwe kahaba? ili kupata mwanaume wa kufanana na wewe anza kwanza kubadilika wewe, usidhani mungu atakupa mwanaume mzuri mcha mungu wakati wewe sio mcha mungu Never mungu humpa mtu wakufanana naye, usimkatie mungu tamaa wakati kusudi alilokuleta duniani bado hujatimiza be humble to every one, then sema mungu baba nimebadilika, na ubadilike kweli then siku akija huyo handsome utajiuliza hivi huyu malaika au mtu?
MDADA kwanza jione wa thamani machoni pa mungu, kwanini uwe kahaba? ili kupata mwanaume wa kufanana na wewe anza kwanza kubadilika wewe, usidhani mungu atakupa mwanaume mzuri mcha mungu wakati wewe sio mcha mungu Never mungu humpa mtu wakufanana naye, usimkatie mungu tamaa wakati kusudi alilokuleta duniani bado hujatimiza be humble to every one, then sema mungu baba nimebadilika, na ubadilike kweli then siku akija huyo handsome utajiuliza hivi huyu malaika au mtu?
Anataka mwenye gari, maduka na majumba ya kifahari, anaishia kutumika na kuachwa.Wanaume wa kweli mbona wapo sema mnachagua sana
Hivyoo enhee nishamchora
ok..mrejesho vipisijafunga
Nawakatazaga sana Kejeli kwenye mambo seriousmchuba ndo kitu gani? anyway kama kuna mtu anaitwa mchuba humu utampata
Nimechekaaa kama mazuriMi nina cherehani 3, bado cherehani ki1 niwe na kiwanda, vipi nafaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikwambie kitu kizuri wewe.ni sawa Na MTU mwanga
Hahahahaaa! Kanitosa pm aisee! Kasema nina historia ya uki - kojozi. Nimekosa kipusa hivihivi.
Kwanini umechagua ukahaba???Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume