Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Nahitaji mke wa 2 uko tayari?
 
Kwa hali hiyo wataendelea kukuzalisha nyumbani . Angalia akili na moyo hivo vingine achana navyo [emoji120]
 
Mi nahisi akitaka kuchati huwa anaposti hizzi threads zke, huenda kuna watu anawapiga pesa sio bure aiseh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…