Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Tangu mwaka Jana unaweka matangazo ya kutafuta waume ila unaambulia patupu...


Nakushauri Dada Yangu punguza masharti.. Weka masharti "Constructive" kwa Mme unaetaka kuwa nae.. Achana na vigezo ambavyo mtu akivisoma anakuona hauna vigezo vya kuwa Mke bora..


Eti unataka mwanaume mweupe !! Sasa weupe una mchango gani kwenye familia yako ? Unataka mwanaume mrefu ! Urefu utapeleka Watoto wenu shule ???...
Ukiendelea na hizi sifa na vigezo vyako utaishiwa kuchezewa na kuachwa ... Andaa na tafuta wanaume wenye vigezo "Jenzi" ..




NB: Kuna wanaume serious wanatafuta watu wa kuoa ila inabidi uwe makini sana kwenye mabandiko unayoandika kutafuta hao wanaume ... Maneno yako machache yanaweza kuwajengea picha jinsi ni mwanamke wa namna gani ulivyo ..
Japokuwa nimechelewa kwny hili bandiko ila umempa ushauri mzuri, mwambie pia huwa tunafukua na makaburi pia humu ili kujua tabia za mtoa bandiko. tayari kny bandiko hili kuna comment ametoa ushuzi na imempunguzia maksi
 
Hii ni shida wanapenda kuolewa lakini masharti mengi mno ndo maana mnaishia kuwa single mother
 
Nipo mwanamke mama

Ntakupenda ntakulinda Kama mtoto,sitajari una watoto au rahaaa ila napenda uwe na umri kuanzia miaka 30 kuendelea uwe mkristo mrefu maji ya kunde

Mpambanaji usimame Kama mwanaume haswa sio mwanaume mwenye sifa za like hapana.

Karibu pm

Jitambulishe na jieleze nikivutiwa ntakujibu haraka
 
Nipo mwanamke mama

Ntakupenda ntakulinda Kama mtoto,sitajari una watoto au rahaaa ila napenda uwe na umri kuanzia miaka 30 kuendelea uwe mkristo mrefu maji ya kunde

Mpambanaji usimame Kama mwanaume haswa sio mwanaume mwenye sifa za like hapana.

Karibu pm

Jitambulishe na jieleze nikivutiwa ntakujibu haraka
Mbona sifa zako wewe hujaweka,? Wewe ni rangi ya maji ya nini? una umri wa miaka mingapi?
 
Sifa zako umezisahau kihuba
Nipo mwanamke mama

Ntakupenda ntakulinda Kama mtoto,sitajari una watoto au rahaaa ila napenda uwe na umri kuanzia miaka 30 kuendelea uwe mkristo mrefu maji ya kunde

Mpambanaji usimame Kama mwanaume haswa sio mwanaume mwenye sifa za like hapana.

Karibu pm

Jitambulishe na jieleze nikivutiwa ntakujibu haraka
 
Nipo mwanamke mama

Ntakupenda ntakulinda Kama mtoto,sitajari una watoto au rahaaa ila napenda uwe na umri kuanzia miaka 30 kuendelea uwe mkristo mrefu maji ya kunde

Mpambanaji usimame Kama mwanaume haswa sio mwanaume mwenye sifa za like hapana.

Karibu pm

Jitambulishe na jieleze nikivutiwa ntakujibu haraka
Hizo ni stress za mda hauko serious zitaisha tu tulia wanaume hawatafutwi hivo
 
Back
Top Bottom