Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,419
Hawa wakubwa wanatuita vibamia, acha tuchukue zero kmAchana na form six bado watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wakubwa wanatuita vibamia, acha tuchukue zero kmAchana na form six bado watoto
😃😃 Unadhani hao wa six hawavijui vibamia? Utashangaa na roho yakoHawa wakubwa wanatuita vibamia, acha tuchukue zero km
Hahaha wa six na first year kwa semister ya kwanza chuo bado hawajazibuliwa Sana, vikishafika semister ya pili ndio matatzo😃😃 Unadhani hao wa six hawavijui vibamia? Utashangaa na roho yako
Unataka kuwachora watu ili kesho upate uzi mpya wa kutusema mwanaume. Kama kweli upo serious weka CV yako ya mahusiano na maisha kwa ujumla ili wanaotaka wakujie pm kwa sababu nao wanazo sifa za wake zao watarajiwa. Mwisho fanya mchakato wa kubadili maombi. Soma Mwanzo 2 wakati Mungu anampa Adam mke, alimfanyia wa kufanana nae hivyo ulivyo bado una thamani kubwa sana na yupo unaefanana nae Mungu atakuletea Ila kuwa serious mwambie Mungu akupe wa kufanana na wewe. Nakupa unabii huu kama hutanii ukiomba nilivyokwambia Krismasi ya mwaka huu utasherekea ukiwa na wakufanana nae. Mungu ni mwaminifu huziangalia ahadi zake ili azitimize.Nipo mwanamke mama
Ntakupenda ntakulinda Kama mtoto,sitajari una watoto au rahaaa ila napenda uwe na umri kuanzia miaka 30 kuendelea uwe mkristo mrefu maji ya kunde
Mpambanaji usimame Kama mwanaume haswa sio mwanaume mwenye sifa za like hapana.
Karibu pm
Jitambulishe na jieleze nikivutiwa ntakujibu haraka
Ana Mashauzi kibao,Eti ukivutiwa..si ungekuwa ushapata bwana sasa??
Yampasa apitie hii comment yako kisha aijibu kwanza,asante mkuu kwa kufukua kaburi la huyuHauna hamu, sasa itakuwaje kuhusu huyu mmeo mtarajiwa?!!View attachment 1102206
Mi naona kafanya jokes tuu kuna watu wanatafuta wachumba huku nakupata? Mmmh!!Tangu mwaka Jana unaweka matangazo ya kutafuta waume ila unaambulia patupu...
Nakushauri Dada Yangu punguza masharti.. Weka masharti "Constructive" kwa Mme unaetaka kuwa nae.. Achana na vigezo ambavyo mtu akivisoma anakuona hauna vigezo vya kuwa Mke bora..
Eti unataka mwanaume mweupe !! Sasa weupe una mchango gani kwenye familia yako ? Unataka mwanaume mrefu ! Urefu utapeleka Watoto wenu shule ???...
Ukiendelea na hizi sifa na vigezo vyako utaishiwa kuchezewa na kuachwa ... Andaa na tafuta wanaume wenye vigezo "Jenzi" ..
Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu
Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo awe na mapezi ya dhati Kwa upande wangu sijawai zaa,sijawai olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti...www.jamiiforums.com
NB: Kuna wanaume serious wanatafuta watu wa kuoa ila inabidi uwe makini sana kwenye mabandiko unayoandika kutafuta hao wanaume ... Maneno yako machache yanaweza kuwajengea picha jinsi ni mwanamke wa namna gani ulivyo ..
Kwa ulivyoandika tu hapa napata image ya mwanamke msela msela hivi kama Sister P. Nimekumbuka mbali sanaMwanaume mwenye upendo na Nia ya dhati
Awe na akiri ya kujiongeza kimaendeleo
Asiwe na kitambi
Awe mkristo
Awe na umri miaka 29-35
Awe na watoto haina shida
Awe mrefu kwakweli maji ya kunde au mweupe
Naomba asije mfupi mweusi uwa Sina stimu nao kabisa kifupi wanaume weusi msije ntawadanganya tu kwakweli
Msema kweli mpenzi wa mungu
Ntajibu sms za wanaume kamili tu wanao jua kuandika Kama ujui kutongoza sita jibutext
Mfano vp?
.......haaaaaha
Sijui tyajendeee matofari sijibu.....
Na kadharika
Sitaki wazinguzi kwakua mie pia mzinguzi ukiniZingua [emoji850]
Mh kabisaaaaa unatafuta mume kwa ulimi wako huu mchafuNdio Kama la Mama yako