Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Nipo mwanamke mama
Ntakupenda ntakulinda Kama mtoto,sitajari una watoto au rahaaa ila napenda uwe na umri kuanzia miaka 30 kuendelea uwe mkristo mrefu maji ya kunde
Mpambanaji usimame Kama mwanaume haswa sio mwanaume mwenye sifa za like hapana.
Karibu pm
Jitambulishe na jieleze nikivutiwa ntakujibu haraka
Unataka kuwachora watu ili kesho upate uzi mpya wa kutusema mwanaume. Kama kweli upo serious weka CV yako ya mahusiano na maisha kwa ujumla ili wanaotaka wakujie pm kwa sababu nao wanazo sifa za wake zao watarajiwa. Mwisho fanya mchakato wa kubadili maombi. Soma Mwanzo 2 wakati Mungu anampa Adam mke, alimfanyia wa kufanana nae hivyo ulivyo bado una thamani kubwa sana na yupo unaefanana nae Mungu atakuletea Ila kuwa serious mwambie Mungu akupe wa kufanana na wewe. Nakupa unabii huu kama hutanii ukiomba nilivyokwambia Krismasi ya mwaka huu utasherekea ukiwa na wakufanana nae. Mungu ni mwaminifu huziangalia ahadi zake ili azitimize.
 
Hauna hamu, sasa itakuwaje kuhusu huyu mmeo mtarajiwa?!!
Screenshot_20190519-153432.jpeg
 
Haha hawa ni wale waliotumika sanaaaa mpaka engine zimeota kutu

Sasa wanakuja kwa style hii kutafta stara angalau na yeye aolewe
 
Tangu mwaka Jana unaweka matangazo ya kutafuta waume ila unaambulia patupu...


Nakushauri Dada Yangu punguza masharti.. Weka masharti "Constructive" kwa Mme unaetaka kuwa nae.. Achana na vigezo ambavyo mtu akivisoma anakuona hauna vigezo vya kuwa Mke bora..


Eti unataka mwanaume mweupe !! Sasa weupe una mchango gani kwenye familia yako ? Unataka mwanaume mrefu ! Urefu utapeleka Watoto wenu shule ???...
Ukiendelea na hizi sifa na vigezo vyako utaishiwa kuchezewa na kuachwa ... Andaa na tafuta wanaume wenye vigezo "Jenzi" ..




NB: Kuna wanaume serious wanatafuta watu wa kuoa ila inabidi uwe makini sana kwenye mabandiko unayoandika kutafuta hao wanaume ... Maneno yako machache yanaweza kuwajengea picha jinsi ni mwanamke wa namna gani ulivyo ..
Mi naona kafanya jokes tuu kuna watu wanatafuta wachumba huku nakupata? Mmmh!!
 
Mwanaume mwenye upendo na Nia ya dhati

Awe na akiri ya kujiongeza kimaendeleo
Asiwe na kitambi
Awe mkristo
Awe na umri miaka 29-35
Awe na watoto haina shida
Awe mrefu kwakweli maji ya kunde au mweupe

Naomba asije mfupi mweusi uwa Sina stimu nao kabisa kifupi wanaume weusi msije ntawadanganya tu kwakweli

Msema kweli mpenzi wa mungu

Ntajibu sms za wanaume kamili tu wanao jua kuandika Kama ujui kutongoza sita jibutext

Mfano vp?
.......haaaaaha

Sijui tyajendeee matofari sijibu.....


Na kadharika

Sitaki wazinguzi kwakua mie pia mzinguzi ukiniZingua [emoji850]
Kwa ulivyoandika tu hapa napata image ya mwanamke msela msela hivi kama Sister P. Nimekumbuka mbali sana
 
Unavuta tela? Ama umekatwa nyuma kama Vits?

Sifa zote ninazo. Angalizo: Mwanamke asiye na 'banda la uwani' huwa sina stimu naye.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom