HURIS
Member
- May 18, 2019
- 72
- 60
Great experience, tupo asee!!!Wanaume waowaji wapo humu tena wengi tuu!
Wala sababu ya uzi hakuna, utakutana nao humuhumu jukwaani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Great experience, tupo asee!!!Wanaume waowaji wapo humu tena wengi tuu!
Wala sababu ya uzi hakuna, utakutana nao humuhumu jukwaani!
Umuwowe sasa!Great experience, tupo asee!!!
Wewe sio mke wa mtu?Sio wote dada!
Ni kama wanaume wanavyojiaminisha wote sie wake za watu!
Mimi mke wa mume wanguWewe sio mke wa mtu?
VizuriMimi mke wa mume wangu
HayaVizuri
Unamajibu ya kiutuuzimaHaya
Nashukuru mno!Unamajibu ya kiutuuzima
Nipo hapa Hela tutatafutaMimi natafuta mme wakuchapans tu masaa yote ila awe anahela
Naogopa naogopa kutemwa.Nipo hapa Hela tutatafuta
Hutotemwa bila sababu, chamsingi usilete hiyo sababu na we shall remain together forever and everNaogopa naogopa kutemwa.
Kweliii we gizaaa......mie natafta mwangaaaMwanaume mwenye upendo na Nia ya dhati
Awe na akiri ya kujiongeza kimaendeleo
Asiwe na kitambi
Awe mkristo
Awe na umri miaka 29-35
Awe na watoto haina shida
Awe mrefu kwakweli maji ya kunde au mweupe
Naomba asije mfupi mweusi uwa Sina stimu nao kabisa kifupi wanaume weusi msije ntawadanganya tu kwakweli
Msema kweli mpenzi wa mungu
Ntajibu sms za wanaume kamili tu wanao jua kuandika Kama ujui kutongoza sita jibutext
Mfano vp?
.......haaaaaha
Sijui tyajendeee matofari sijibu.....
Na kadharika
Sitaki wazinguzi kwakua mie pia mzinguzi ukiniZingua [emoji850]
Duh, utawapata wauandishi wako. kila la kheriMwanaume mwenye upendo na Nia ya dhati
Awe na akiri ya kujiongeza kimaendeleo
Asiwe na kitambi
Awe mkristo
Awe na umri miaka 29-35
Awe na watoto haina shida
Awe mrefu kwakweli maji ya kunde au mweupe
Naomba asije mfupi mweusi uwa Sina stimu nao kabisa kifupi wanaume weusi msije ntawadanganya tu kwakweli
Msema kweli mpenzi wa mungu
Ntajibu sms za wanaume kamili tu wanao jua kuandika Kama ujui kutongoza sita jibutext
Mfano vp?
.......haaaaaha
Sijui tyajendeee matofari sijibu.....
Na kadharika
Sitaki wazinguzi kwakua mie pia mzinguzi ukiniZingua [emoji850]
Lile ombi langu vp?mbaya zaid had pm umefungaMbona umefurahi mkuu