Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Japokuwa nimechelewa kwny hili bandiko ila umempa ushauri mzuri, mwambie pia huwa tunafukua na makaburi pia humu ili kujua tabia za mtoa bandiko. tayari kny bandiko hili kuna comment ametoa ushuzi na imempunguzia maksi
 
Hii ni shida wanapenda kuolewa lakini masharti mengi mno ndo maana mnaishia kuwa single mother
 
Nipo mwanamke mama

Ntakupenda ntakulinda Kama mtoto,sitajari una watoto au rahaaa ila napenda uwe na umri kuanzia miaka 30 kuendelea uwe mkristo mrefu maji ya kunde

Mpambanaji usimame Kama mwanaume haswa sio mwanaume mwenye sifa za like hapana.

Karibu pm

Jitambulishe na jieleze nikivutiwa ntakujibu haraka
 
Mbona sifa zako wewe hujaweka,? Wewe ni rangi ya maji ya nini? una umri wa miaka mingapi?
 
Sifa zako umezisahau kihuba
 
Hizo ni stress za mda hauko serious zitaisha tu tulia wanaume hawatafutwi hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…