barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Una uwezo wa kutoa mapacha??Upo tyr kubeba mimba ya watoto mapacha? Njoo PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uwezo wa kutoa mapacha??Upo tyr kubeba mimba ya watoto mapacha? Njoo PM
Mh!! kumbe wewe ni mwanaume!!!!Yaan mie sina mke na naitafuta kweli. Tena hata Leo ngekutolea mahari.
Ila ww jeuri sana aisee nilivokua sipendagi jeuri nitakufundisha burre niishie kunyea ndoo
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaan m rangi yangu Maji ya njegere kama cyo kunde na uwezo upo Wa kukupatia....lkn nmekosa sifa ya rangi na mm bila hiana nmekupasia watu Wa manyara# hutak ,bac karbu kwangunipelekee
Mimba zote nilizobebesha ni double double tuUna uwezo wa kutoa mapacha??
PM iko wazihaswaaaaaaa
We unadhani wanaume wana shida kiasi hicho?Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.
Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.
PM IPO WAZI
Duh, basi una bahati na wanawake unaokutana nao!Mimba zote nilizobebesha ni double double tu
Na kei pia iko wazi! Kheee kheeeee kheeeeeeee.PM iko wazi
Natamani siku upate hitajilo , tatzo Mentality yako inadhani wanaume ni malimbukeni sana kwenu( unaweka mashart ambayo hawo wenye sifa hizo wakikutathimini wanagundua kuwa ww ndio huna sifa au hufanan na sifa za zao) . Ndio maana unalazimisha .unashindwa kujifikiria mwenyewe kwanini hawatokei?Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.
Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.
PM IPO WAZI
Kwa mujibu wa sayansi, au kwa mujibu wa Mungu?Duh, basi una bahati na wanawake unaokutana nao!
Mapacha wako kwenye mayai ya wanawake, wao ndo "waamuzi" wa kutoa pacha au laa!
Vyote!Kwa mujibu wa sayansi, au kwa mujibu wa Mungu?