Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Unapoelekea utakuja kutafuta ata wa kulala nae siku moja
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.

Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.

Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.

Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.


PM IPO WAZI
Kwa jinsi ulivyo nadhani unahitaji msaada kuliko jinsi unavofahamu, juzi umetangaza unahitaji mchumba leo umegairi!
Napatashida sana kukuelewa, pili aina ya uandishi wako, na namna ulivyoandika inaonesha wewe ni mwanamke wa namna gani.
Meisho umeandika kana kwamba wewe sio mwenyehitaji la kuzalishwa ila anayekuzalisha ndio mwenyehitaji, napata shida km atakayekuzalisha hutamgeuka na kusema ahusike na malezi wakati umatamka kuwa utamlea.
Kwa mwanaume makinj anayejua nini maana ya mzazi hatakukubalia unachokihitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi ulivyo nadhani unahitaji msaada kuliko jinsi unavofahamu, juzi umetangaza unahitaji mchumba leo umegairi!
Napatashida sana kukuelewa, pili aina ya uandishi wako, na namna ulivyoandika inaonesha wewe ni mwanamke wa namna gani.
Meisho umeandika kana kwamba wewe sio mwenyehitaji la kuzalishwa ila anayekuzalisha ndio mwenyehitaji, napata shida km atakayekuzalisha hutamgeuka na kusema ahusike na malezi wakati umatamka kuwa utamlea.
Kwa mwanaume makinj anayejua nini maana ya mzazi hatakukubalia unachokihitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
mtazamo pia
 
Mhhh kwahiyo ile nzengo yote uliyosema imejazana pm juzi imefeli intavyuu hadi umeghairi kuolewa!? Anyway, siku ukitaka show ya siku moja unitag nitume application...

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Yaan mie sina mke na naitafuta kweli. Tena hata Leo ngekutolea mahari.
Ila ww jeuri sana aisee nilivokua sipendagi jeuri nitakufundisha burre niishie kunyea ndoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani wewe ni ME? Kila siku nazimika na hiyo avatar yako japo haionekani vizuri...

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Usikute ni jasusi hili kuna mtu linamtafuta humu😱
 
We nilikuona wa maana katika uzi wako wa mwanzo kumbe ni wale wale tu sunguratope. Kagongwe na mifugo basi hamna mwanaume wa kupelekwa kistahili hio siku hizi!
 
Duuuuu, hii ndio siredi iliyoanzishiwa siredi kule kwingine [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.

Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.

Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.

Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.


PM IPO WAZI
Ndugu yangu unaingilia majukumu ya Mungu sasa!

Kumbuka MUNGU ndo anajua viability za watu wanaofanya hiko kitendo.

brain is the beautiful part of the body.
 
Ushavurugwa wangu jipatie katoto utulie ndo amani ya roho yenyewe

IRON LADY!!!!
 
Hivi ungeandika vizuri bila ukali na ugangwe si yangetimia pia. Wewe unaonekana ukipata hiyo mimba mwenye mimba atakukoma hata kwa vibao utamtimua.. labda ndio maana hadi leo wanakukimbia... jitafakari.
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.

Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.

Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.

Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.


PM IPO WAZI
Umeandika kibabe sana
Tumia polite language.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom