mgweno halisi
Member
- Apr 19, 2017
- 52
- 60
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi ulivyo nadhani unahitaji msaada kuliko jinsi unavofahamu, juzi umetangaza unahitaji mchumba leo umegairi!Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.
Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.
PM IPO WAZI
Nilivaa uhusika wako dogo.Sister na wewe unatafuta mke??
mtazamo piaKwa jinsi ulivyo nadhani unahitaji msaada kuliko jinsi unavofahamu, juzi umetangaza unahitaji mchumba leo umegairi!
Napatashida sana kukuelewa, pili aina ya uandishi wako, na namna ulivyoandika inaonesha wewe ni mwanamke wa namna gani.
Meisho umeandika kana kwamba wewe sio mwenyehitaji la kuzalishwa ila anayekuzalisha ndio mwenyehitaji, napata shida km atakayekuzalisha hutamgeuka na kusema ahusike na malezi wakati umatamka kuwa utamlea.
Kwa mwanaume makinj anayejua nini maana ya mzazi hatakukubalia unachokihitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani wewe ni ME? Kila siku nazimika na hiyo avatar yako japo haionekani vizuri...Yaan mie sina mke na naitafuta kweli. Tena hata Leo ngekutolea mahari.
Ila ww jeuri sana aisee nilivokua sipendagi jeuri nitakufundisha burre niishie kunyea ndoo
Sent using Jamii Forums mobile app
He he heeeeh mie ni ke. Hapo nilivaa uhusika wa me. Avatar ni picha halisMkuu kwani wewe ni ME? Kila siku nazimika na hiyo avatar yako japo haionekani vizuri...
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu unaingilia majukumu ya Mungu sasa!Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.
Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.
PM IPO WAZI
Umeandika kibabe sanaMoja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.
Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.
PM IPO WAZI