Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Hii ni thread ya 6 uliyoanzisha, na zote unataka mwanaume. Ni jambo jema, ila mimi naomba akikosa mume, utafute majibu ya maswali yafuatayo:
1. Je, Ndoa ni mpango wa Mungu au mwanadamu?
2. Je, Mungu aliyekupa ulivyonavyo kwa nini hakukuamini kupita kiasi akakupa kwa wakati uupendao?
3. Ni udhaifu upi unaofanya wanaume wanaokufahamu wasikuoe mpaka utafute huku? Unaweza kufanya lipi ubadilike?
 
Hii ni thread ya 6 uliyoanzisha, na zote unataka mwanaume. Ni jambo jema, ila mimi naomba akikosa mume, utafute majibu ya maswali yafuatayo:
1. Je, Ndoa ni mpango wa Mungu au mwanadamu?
2. Je, Mungu aliyekupa ulivyonavyo kwa nini hakukuamini kupita kiasi akakupa kwa wakati uupendao?
3. Ni udhaifu upi unaofanya wanaume wanaokufahamu wasikuoe mpaka utafute huku? Unaweza kufanya lipi ubadilike?
.......................................................................................
............................................................................................
...........................................................................................
😎
 
Habari zenu wanachama wa JF,

Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.

Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.

Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Watu siki izi hawavutiwi na ujumbe maah
Wanavutiwa na mwonekano[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom