Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chura lipo?!njooooo
.......................................................................................Hii ni thread ya 6 uliyoanzisha, na zote unataka mwanaume. Ni jambo jema, ila mimi naomba akikosa mume, utafute majibu ya maswali yafuatayo:
1. Je, Ndoa ni mpango wa Mungu au mwanadamu?
2. Je, Mungu aliyekupa ulivyonavyo kwa nini hakukuamini kupita kiasi akakupa kwa wakati uupendao?
3. Ni udhaifu upi unaofanya wanaume wanaokufahamu wasikuoe mpaka utafute huku? Unaweza kufanya lipi ubadilike?
Hebu tuma picha nione kishuzi kwnzata sungura
Kihuba wewe uko sealed?sild
HahahahahahaKihuba wewe uko sealed?
Watu siki izi hawavutiwi na ujumbe maahHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Kihuba naomba unitumie PM namba unayotumia whatsapp tafadhali.kabisa
Ongera ila slid imeijuaje?sild