Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm

Tuma picha na namba yako

sitaki maelezo mengi sana

kesho mechi jamani nawakumbusha tu YANGA NA SIMBA
ntajibu 10 wa mwanzo tu
 
Malaya tu huyo toka lini mwanamke akapata ujasili kujitafutia mume kwa namna hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo ulimwengu wa zama za kati za mawe sio...?
Hizi tamaduni zinabadilika sasa kama hamna anaemfata kumtongoza akae tuu asubiri kufatwa sio...?
Usitumie maneno makali hivi ya UMALAYA, hauwezi jua muunganyiko wa wazee wako mpaka ukapatikana chimbuko lake lilitokea wapi huenda lilianza hivi hivi.
 
a3ada12f309be19af333ef6853368031.jpg
Mungu anaziona struggle zako kwakweli akusaidie sana
 
Mkuu upo ulimwengu wa zama za kati za mawe sio...?
Hizi tamaduni zinabadilika sasa kama hamna anaemfata kumtongoza akae tuu asubiri kufatwa sio...?
Usitumie maneno makali hivi ya UMALAYA, hauwezi jua muunganyiko wa wazee wako mpaka ukapatikana chimbuko lake lilitokea wapi huenda lilianza hivi hivi.
bora
 
Back
Top Bottom