BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Mambo ayo wow!..uko tuendako tunaenda kuoa wanawake ata kumi,.. Mungu ni Mwema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lako limeisha mkuu,hapa hakuna linaloshindikana,utawapata wengi mpaka uwakimbie mwenyeweNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
kila la kheri kwa hilo unalohitajiNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Hebu jaribu na hapa, tatizo ni kwamba tunapishana njia. Naomba usifanye hicho unachowaza, thamani yako ni kubwa mno na bado great future ahead. Niko tayari niwe nawe tu karibu as a friend kwa muda wa 2-3 months naamini utabadilika kabisa na kuwa na sura na mtazamo mpya.Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Naomba nambaHebu jaribu na hapa, tatizo ni kwamba tunapishana njia. Naomba usifanye hicho unachowaza, thamani yako ni kubwa mno na bado great future ahead. Niko tayari niwe nawe tu karibu as a friend kwa muda wa 2-3 months naamini utabadilika kabisa na kuwa na sura na mtazamo mpya.
huyu ni mwanaume anayejifanya dem kuwazngua wanaume mnavyomfuat pm data nyingi ana collect!Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Hahahhahahah napita tu mie bestIla kuna watu mnashangaza ina maana furaha yako ipo kwa mwanaume? Hebu kua busy na kutafuta hela na maendeleo utampata mwanaume unaemtaka...hao wanaume wenyewe.... siku hizi wanapenda kulelewa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Je wewe ni mwanamke wa kweli!? Usitafute kondoo kwenye kundi la chui.Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
duhNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
[emoji1] [emoji1]oyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu uku