Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Watu wakishajua kuwa ww ni mwanaume humu hata uweke thread 100 za kutafuta mchumba zitatoka bashite bashite
 
We hujaacha wenge tu bi dada, si ulisema umempata wa kukupenda kwa dhati humu humu?
Im having an odd feeling that perhaps its time you have to consult a psychiatrist.
pita tu
 
Sijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.

Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
 
Sijuagi kwa nini upande umeshajua huna bahati nao kila siku unahangaika nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.

Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
"Kila penye uzito na wepesi upo"
 
NAZIDI KUKUONYA MDOGO WANGU...MWANAMME MZIMA KUANDIKA HABARI ZA KUTAFUTA MUME ZITAKUJA KUKUPONZA SIKU MOJA
 
Mpo na uzima wakuu leo naleta uzi kwenu


Natafuta mume

Sifa za mwanaume ninae mtataka awe mcheshi,mkweli,mwenye nia ya dhati anae jitambua asiwe mwalimu wala daktari wala mwana sheria napenda mwanaume mjasiriamali,Mwenye sauti ya mahaba pia uume wake uwe umenyooka usipinde kwakua uwa sioni rahaa ya uuume ulio pinda tafandari kama nawakwaza

mkristo na umri wake 29-40.
Awe maji ya kunde au mweupe.
Awe mtu wa kujichanganya na watu wa mataifa mbalimbali sio alie kulia tu tanzania hapana


NB mwenye sifa tuma picha yako na namba za simu jieleze kwa ufupi kuhusu wewe tofauti na hapo sito jibu sms yoyote

Sifa zangu nina umri wa 26-40
mcheshi
mnene kiasi
mwenye msimamo thabiti
Siteteleki kwa mwanaume asie jielewa
sina mtoto na sijawai zaa
mweusi kiasi

NB Napenda mziki,mtunzi wa story na ninapenda kupika sana nipo shap kwa kazi za nyumbani naweza kumlea mwanaume kama mtoto


Siku zote jalala halina thamani, ................Naendelea na safari ya moyo wangu


KELELE ZA WATU NAZISIKIA ILA MANENENO SIYAELEWI fata moyo wako
SASA POLE YA NINI NA UMEANDIKA UMRI WAKO NI MIAKA 26-40 TUKUELEWEJE?? UMRI NI MMOJA TU

KUWA SPECIFIC 26, 27,28,29,30,31,32,33,34,35,36,37,38,39 AU 40
 
"Kila penye uzito na wepesi upo"
Hahahaaaa. Kaka jose. Wepesi unakuwepo ila naona kama mwenzangu anahangaika sana.Mara aseme anataka kuwa malaya, mara anatafuta mchumba yaani shida tupu.

Aachane na huo upande tu kwa kweli.
 
Hahahaaaa. Kaka jose. Wepesi unakuwepo ila naona kama mwenzangu anahangaika sana.Mara aseme anataka kuwa malaya, mara anatafuta mchumba yaani shida tupu.

Aachane na huo upande tu kwa kweli.
Aisee muda mwingine nashindwa kumuelewa au ukute tunachezewa akili kama OTIENO BOSSLADY??
 
Back
Top Bottom