Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Sijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.

Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
kweli kabisa
 
Aisee muda mwingine nashindwa kumuelewa au ukute tunachezewa akili kama OTIENO BOSSLADY??
Aisee umewaza kama mimi kaka. Nimeanza kumtilia mashaka na huenda akawa ni type hizo hizo ndio mana haoni shida kuandika vitu ambavyo havina kichwa wala miguu.
 
Aisee umewaza kama mimi kaka. Nimeanza kumtilia mashaka na huenda akawa ni type hizo hizo ndio mana haoni shida kuandika vitu ambavyo havina kichwa wala miguu.
hapana mimi sio muongo
 
Aisee umewaza kama mimi kaka. Nimeanza kumtilia mashaka na huenda akawa ni type hizo hizo ndio mana haoni shida kuandika vitu ambavyo havina kichwa wala miguu.
Aisee umewaza kama mimi kaka. Nimeanza kumtilia mashaka na huenda akawa ni type hizo hizo ndio mana haoni shida kuandika vitu ambavyo havina kichwa wala miguu.
Yaani haiingii akilini kabisa THREAD 5+ za kutafuta mchumba/mpenzi/mume ZOTE AMEKOSA??? HAPANA AISEE
 
Back
Top Bottom