Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kama vip Njoo kwangu maana ndo Niko 4m 2 kwa vile Unataka mume wa baadae ela Usiogope tutagawana nibazopewa za kula school
 
Nimesha kuita pm , huji, na hata pm hujibu
 
Kwa taarifa yako mashine iliyopinda ndio tamu kupita iliyonyooka!
Nipo na umri wa kuitaji kuitwa mama,na Mwenye kuitaji kuitwa baba aje pm
Umri 29-100 mie 27 mkristo rc atapewa kipao mbele mrefu kiasi maji ya kunde kifua cha mahaba
Mashine yake iwe imenyoka sitaki iliyo pinda
Awe muwazi
Mie mpole mcheshi na Mwenye msimamo thabit


Awe mchapa kazi haswa mjasiliamali
Mlango wazi pm

Kalagabao na ubosi wako!!1 Iliyopinda pekee ndio yenye uwezo wa kufikia kona zote zisizofikika kirahisi, kama kweli wataka kufaidi badili sifa hii ili upate uroda wa kukata na shoka.
 
Kama uko tayar kuwa muslim na unajishuhulisha karibu uwe mke mwenza wangu wanawake tusaidiane wanaume waoaji wachache ..npm
 
Relax girlie. Mume hatafutwi kwa papara.

Hii ni kwa sababu kuna mawili and I will explain why.

Men are the hunters and not the opposite. We are the prey. The hunter is always a step ahead. He has instincts that lead him while at it.

A man can sense the kind of prey he is dealing with in the jungle and tune himself accordingly. A desperate prey is easy to catch. A man will come after you even if he is not hungry. He will catch you, he will toy with you then leave you injured and helpless and go after prey that arouses his curiosity.

Prey that will test his patience, disturb his peace of mind ruffle his thoughts. A prey hard to catch will put a hunter at his wits end and this should be you.

No matter how desperate you are, no matter how lonely you are, don't lose it. Never drop your guard.

Good Luck.
 
Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Tatizo lako hauitaji mume unahitaji kuanzisha uzi na kuwachora watu.kama ukirudi kwenye comments zilizo pita,nadhani utagundua unadharau,kibiri na na mzaha.watu wanakwambia weka picha huwek,toa namba hutoi,comments hujibu unadhan mume utamtoa wapi.liaaaa ukimaliza cheka.
 
Wasio na wake hawataki kuoa,na tulio na wake angalau ndio tunawaonea huruma tunakuwa na kidumu.
Sasa kama uko tayari kuwa wa pili njoo nafasi yako ipo ila kama unataka wakwako pekee pole,hapo ni sawa kusubiri boti mbugani.
 
Yawezekana hujawahi kuomba mume kwa Mungu wako. Wewe unaomba upate mabwana tu!

-Badili style ya maombi, acha kuwazia mabuzi.

-Waza na kuomba mume

-Acha kuchagua na kubagua

-Tambua hakuna mkamilifu

-Amua kutulia, ukifanya chaguzi nyingi huwezi kutulia hata siku moja. Amini hivyo.

-Ukiamua kuomba kwa Mungu wako, omba kweli ukimaanisha.
Fanya maombi ya mzigo kwako.

Ukishindwa yote. Njoo pm
Yawezekana ndiyo bahati Yangu.
 
Back
Top Bottom