Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Kwa mahitaji ya tupu bandia, njoo inboxNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Kuna dem flani alikuwa na malalamiko kama yako,ni mzuri tu ...basi nikamfuata tukaanza mahusiano,.Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Kati ya sehemu ambazo niliamini kuwa kuna Mungu ni kwenye hii taasisi ya ndoa. Wakati we unaona Mungu amekuacha ndio wakati wa kumweleza Mungu unahitaji mtu wako, wakati unaona umeachwa na kuwa mpweke ndio wakati wa kushuka chini na kusema Mungu nipe mtu uliemuandaa kwa ajili yangu, take it from me Mungu anakuletea mtu ambae mwenyewe hutoamini, lakini ishara zote atakazokuja nazo huyo mtu ndizo zitakazokwambia "YES, NI YEYE".Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke