mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
duh,kumbe sisi wanaume dili eeh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Work on your attitude, Huenda ndio source.Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Hivyo ndio vinawafaa wababu kama wewe. vip umesha acha ile shughuli yako ya ukaguzi?Unaweza kukuta ni kabinti ka miaka 19 tu. Haya maisha yanabadilika kwa kasi sana
Unatakamume wa aina ganiNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Unaweza kuwa umeliongea ukiwa hauko serious au vip.. lakini ndani ya ujumbe wako kuna ukweli..Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
sasa kwa tabia hizo za kukubali siku hiyo hiyo unadhani atpata mme. au umesh tangaza ndoa mkuuMI NILIJUAGA masikhara asee haya mambo........past two weeks nilikutana na bint mmoja hvi katika fukwe moja huku upande wa kigamboni.........tukakaa nkamkaribisha vinywaji tukanywa kwa mda mrefu tu......badae kinywaji kilivokolea tukakubaliana akalale kwangu..............................huez amin yule bint analalamika kama ww anataman nimuoe au hata kama mi cwez basi kama nna rafiki yangu ambaye yupo loose nimpe amechoka kuwa mpweke.....POLE SANA JIFUNZE KUMPA MWANAUME KILA KITU HUWA TUNAPAGAWAGA SISI.
Usijekuwa unanisema mimi. hahaha nataniaUnaweza kuwa umeliongea ukiwa hauko serious au vip.. lakini ndani ya ujumbe wako kuna ukweli..
ukifika wakati wa kuoa wanawake wa kuoa huwa hawapatikani kabisa nina ndugu yangu anatafuta mke mwaka wa tano sasa.
Ukitaka mwanamke wa kumpitia wapo wengi sana kila kona kuna mwanamke lakini utakapo anza kutafuta mke wa kuoa sio jambo jepesi kabisa.
Biblia iko wazi sana. "Mke mwema nani awezaye kumuona?!"
Wanawake wako wengi sana lakini Mke huwa sio rahisi kumpata.
Mme ndo yulee uliyemnyima namba yako ya simu au ndo yule ulioona hamuendani..Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Vip ndugu mshale kwenda porini huwa haujakosea Njia.Usijekuwa unanisema mimi. hahaha natania
Hahhaaa[emoji28][emoji28][emoji28] kidawa kibiriti ngoma.!
Wewe mwenyewe ulitoroka ukaguzi, unategemea hivi vibinti vya dotcom vitaniacha salama??Hivyo ndio vinawafaa wababu kama wewe. vip umesha acha ile shughuli yako ya ukaguzi?
Kazi kweli kweli [TAG] Kihuba [/TAG] hebu tuambie kama hayo maneno hapo juu yanachangia.Relax girlie. Mume hatafutwi kwa papara.
A desperate prey is easy to catch.
Prey that will test his patience, disturb his peace of mind ruffle his thoughts. A prey hard to catch will put a hunter at his wits end and this should be you.
Njoo pemba utaolewa siku hiyohiyo ila lazima kupima ukimwi namajibu yanatolewa bila ushauri nasaha. PM ukifika.Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Polee..Endelea kumuomba MunguNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Kama hali ndio hiyo atafute sehemu aharibu then maisha yasonge. hayo ndio maamuzi niliyoamua mimi baada ya kuona hili zoezi limekuwa gumu.Vip ndugu mshale kwenda porini huwa haujakosea Njia.
imagine mdogo wangu ana nyumba ana kazi na yuko kwenye umri wa miaka 30..
anaelekea 33 kupata Mke ni ngumu mno.
KOSEA KUJENGA UTABOMOA NA KUJENGA UPYA.. USIKOSEE KUOA.!!
utajuta maisha yako yote.!