Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Mimi ni binti wa miaka 27,elimu yangu form 4 nipo tayari kwa kuolewa,natoa ahadi ndani ya wana jf nitampenda mume wangu na kumlinda namruhusu anisaliti ila anieshimu,dini yangu ni mkristo,napenda kupika na kulea watoto ,ni mpore mcheshi ila sipendi mtu anifanyi kusudi

Nina msimamo thabiti

Napenda biashara sana na kama unaitaji maendeleo nahakikisha utafika uta jutia!!

Mwanaume ninae mpenda awe mrefu futi tano,umri 29 kuendelea awe mjasiliamali kama hupendi biashara usije kabisa pm,elimu yoyote sipendi mwanaume Mwenye kujisikia na mbwembwe za mdomo,rangi maji ya kunde asiwe mnene au mwembamba sana awe na mwili wa kati

Awe ana utu daimaaa


Unapo kuja pm jieleze kwa ufupi sita jibu SMS za mikato karibuni pm

Nipo tayari kuolewa ata wiki ijayo tukielewana vema
Status ya mgegedo wako ukoje?
 
bado hujamaanisha... tangazo lina masihara ndani yake... by the way ur welcome!
 
Tatizo wanawake siku hizi hamtofautishi Kati ya kupata ajira na kupata mpenzi, zote mnachukulia km ajira!

Mwanamke akikwambia anatafuta mme Bora, simply means anatafuta mwanaume mwenye pesa
 
Habari zenu wadau

Naimani mu wazima wa afya, nimejitokeza tena kuwapa nafasi wale ambao wanataka kuoa mwaka 2018, sifa awe na rangi ya maji ya kunde au mweupe mrefu na mwili wa haja, umri 29--- christian RC atachukuliwa kipao mbele

Sitaki awe na mali nyingi mali nitatafuta nae mimi moja mpaka mia awe mjasiriamali, pombe, sigara asitumie

Nitampa mapenzi ya dhati kama akiwa na sifa za kiume zote.

Sifa zangu mpole mwenye mapenzi ya dhati nikipenda nimependa ila kinyume na hapo mwepesi kuchukua maamuzi ya kutokurudi nyuma kwa mtu mrudiaji wa kosa nina msimamo thabiti pia

Sio utani mwenye nia aje pm ukija kimasiara nitakupuuuza
 
Back
Top Bottom