Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

kihuba uko serious jaribu kusocialize mtaani,sokoni,nyumba za ibada jitoe out sehemu expensive utapata mwanaume classic
 
Sifa zote ninazo utanifikilia kama nitakufaa mi mwenyewe napenda kufanya mapenzi kila wakati utani faa cha mwisho mi ni mpenda alcohol
 
Sijui iseeee
Basi ni vyema uanze kujichunguza, na itakuwa ni bora zaidi ukianza kwa kuwauliza watu wako wa pembeni kuhusu wewe kwamba mwenendo wako upoje. Kwa sababu jamii yetu ni jamii ambayo mwanamke huwa hatafuti bali anatafutwa.
 
Boss we si una mke yule mwenye miaka 19?
Cc Marianah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

JF bhana naona unajaribu kumkumbusha
 
Habari zenu wandugu Bado sijapata mume Wala mchumba yote ni kwasababu masiara mengi humu jf

Natoa nafasi nyingine kwa mwaka huu

Mwanaume anae hisi anahitaji mke

Sifa zake

Awe mwanaume haswa sio mwanaume asie jiamini
Dini mkristo
Umri miaka 29-40
Awe na nguvu za kufanya tendo la ndoa maaana. Mimi napenda Sana tendo la ndoa kupitiliza
Maji ya kunde au weusi wa kawaida usizidi
Mchapa kazi na anae penda mjasiliamali
Sitaki mwanaume mwenye tabia za kike maneno mengi Kama mtunzi wa stori
Mwenye mashauzi ya kujisikia sitaki pia
Awe na utu kwa wenzake
Asiwe mrefu Wala mfupi

Tabia zingine tuta zishepu

Sifa zangu
Binti mpole na mwenye msimamo thabiti,tofauti na hapo ni mwepesi kuchukia na mtu wa haraka kusameehe

Sio mwembamba Wala mnene nipo Kati na nyama kiasi
Makalio ya kawaida
Rangi mweusi
Napenda kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani
Mcheshi ila sipendi kuonewa kupitiliza
Umri 28
Elimu kidato Cha nne
Sina kazi yoyote ila uwa nafanya vibarua vya hapa na pale Kama kubebea maji mafundi kufua nguo za watu na kusafisha ofisi za watu

Mengine tutazungumza

Kama hujapendezwa soma pita tu.

Pm wazi Ila sitaki maswali Kama tupo maahakamani .

Ni pm jieleze sifa zako weka na mawasiliano ntakutafuta nikiona nimesukumwa nikutafuta

Kwa mtu mwenye masiara mie ndo fundi
Wewe ni dume, bisha
 
Sifa zote nimekidhi kasoro hapo kwenye weusi

Mi ni mweusi utafikiri nimeoga oil nmepakaa kiwi kama mafuta

Ila huwezi nifikiria bibie hili pia tutalishep
 
Elimu kidato cha ngapi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom