Baada ya kukua nimejifunza yafuatayo kuhusu siasa za Tanzania

Baada ya kukua nimejifunza yafuatayo kuhusu siasa za Tanzania

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
1. Viongozi wote wa tume ya uchaguzi wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote wao wafanye kazi yao. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

2. Spika wa bunge na naibu spika wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

3. Mwanasheria mkuu wa serikali asiwe mbunge wa chama chochote na anatakiwa achaguliwe na wananchi na asiwe na chama chohote wala asihudhurie vikao vya chama chochote. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hiyo kisha wapigiwe kura.

4. Viongozi wakuu mahakama wasiwe wa chama chochote na wanatakiwa wachaguliwe na wananchi. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

5. Wananchi tuchague kiongozi wa chama chochote mwenye uwezo wa kufanya maamuzi sahihi tusiangalie anayeweza kuongea mbele za watu. Tusibague vyama ni dalili ya kutokuelimika.

6. Kiongozi mzuri ni yule anayeweza kufanya maamuzi sahihi na sii anayeweza kujieleza zaidi mbele za watu.

7. Watu wanaokula rushwa na kufanya ufisadi akili zao zinafanana na akili za wezi wanao iba mali za watu. Kinachomfanya mtu aibe ni kwasababu ya kutoelimika na mtu aliyeelimika hawezi iba kitu cha mtu. Elimu ya katiba na sheria ifundishwe kutoka shule ya msingi ili watu wapate kuelimika. Wakielimika tangu wakiwa wadogo hawatoweza kuiba.

Yapo mengi ila naomba kwa leo niishie hapo.
 
1. Viongozi wote wa tume ya uchaguzi wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote wao wafanye kazi yao. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

2. Spika wa bunge na naibu spika wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

3. Mwanasheria mkuu wa serikali asiwe mbunge wa chama chochote na anatakiwa achaguliwe na wananchi na asiwe na chama chohote wala asihudhurie vikao vya chama chochote. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hiyo kisha wapigiwe kura.

4. Viongozi wakuu mahakama wasiwe wa chama chochote na wanatakiwa wachaguliwe na wananchi. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

5. Wananchi tuchague kiongozi wa chama chochote mwenye uwezo wa kufanya maamuzi sahihi tusiangalie anayeweza kuongea mbele za watu. Tusibague vyama ni dalili ya kutokuelimika.

6. Kiongozi mzuri ni yule anayeweza kufanya maamuzi sahihi na sii anayeweza kujieleza zaidi mbele za watu.

7. Watu wanaokula rushwa na kufanya ufisadi akili zao zinafanana na akili za wezi wanao iba ?mali za watu. Kinachomfanya mtu aibe ni kwasababu ya kutoelimika na mtu aliyeelimika hawezi iba kitu cha mtu. Elimu ya katiba na sheria ifundishwe kutoka shule ya msingi ili watu wapate kuelimika. Wakielimika tangu wakiwa wadogo hawatoweza kuiba.

Yapo mengi ila naomba kwa leo niishie hapo.
Unatumia mihemuko kufikiri sio logic, watachaguliwa na wananchi kupitia platform gani? Je wewe umewahi kutokuwa mpenzi au shabiki wa chama hata kwa dakika moja?
 
Unatumia mihemuko kufikiri sio logic, watachaguliwa na wananchi kupitia platform gani? Je wewe umewahi kutokuwa mpenzi au shabiki wa chama hata kwa dakika moja?
Uchaguzi sio lazima uhusu vyama. Kwani mchakato wa kuwapata viongozi wa vyuo, shule na vikundi huwa unahusu vyama? Rais wa chuo tena hadi wabunge wote wanapatikana bila vyama, wanapigiwa kura na wanafunzi na serikali inapatikana na inafanya kazi vizuri kabisa.
 
1. Viongozi wote wa tume ya uchaguzi wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote wao wafanye kazi yao. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

2. Spika wa bunge na naibu spika wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

3. Mwanasheria mkuu wa serikali asiwe mbunge wa chama chochote na anatakiwa achaguliwe na wananchi na asiwe na chama chohote wala asihudhurie vikao vya chama chochote. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hiyo kisha wapigiwe kura.

4. Viongozi wakuu mahakama wasiwe wa chama chochote na wanatakiwa wachaguliwe na wananchi. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura.

5. Wananchi tuchague kiongozi wa chama chochote mwenye uwezo wa kufanya maamuzi sahihi tusiangalie anayeweza kuongea mbele za watu. Tusibague vyama ni dalili ya kutokuelimika.

6. Kiongozi mzuri ni yule anayeweza kufanya maamuzi sahihi na sii anayeweza kujieleza zaidi mbele za watu.

7. Watu wanaokula rushwa na kufanya ufisadi akili zao zinafanana na akili za wezi wanao iba mali za watu. Kinachomfanya mtu aibe ni kwasababu ya kutoelimika na mtu aliyeelimika hawezi iba kitu cha mtu. Elimu ya katiba na sheria ifundishwe kutoka shule ya msingi ili watu wapate kuelimika. Wakielimika tangu wakiwa wadogo hawatoweza kuiba.

Yapo mengi ila naomba kwa leo niishie hapo.
Natoa ushauri kwa watanzania tumpime na tumfikirie Dr. Slaa kuwa kiongozi wetu.
 
Back
Top Bottom