Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmhMuache huyo mwenye majini ili uoe Mwanamke malaya,ukeshe Jf kufungua nyuzi za kuomba ushauri kwa mara nyingine😁
Hizo nguvu anazo siku zote tu ila siku hiyo ndio akaamua kukuonyesha ili kutimiza lengo lake.Kwa Kipindi hicho chote hatukuwahi kuishi pamoja mkuu, ndio tumeishi week moja tu sasa naiona iyo hali. Pia ukisema muongo unamaanisha izo nguvu za ajabu alizonionesha mbele yangu zilitoka wapi?
Hakuna mkamilifu harafu kama ndani ya miaka 3 hakuna usumbufu kuna ubaya gani akioa,mbona mimi ninayo huu mwaka wa nne niko na baba chanja wangu😀
Kitì kama kiti 😁Hakuna mkamilifu harafu kama ndani ya miaka 3 hakuna usumbufu kuna ubaya gani akioa,mbona mimi ninayo huu mwaka wa nne niko na baba chanja wangu😀
Kwa maelezo yako, inaonekana binti tayari alishaingia kwenye ndoa na majini hili ni jambo ambalo lipo sana hasa kwa akina dada lakini hata akina kaka. Hayo hapo ni aina ya majini wanaita jini mahaba.Kwa Kipindi hicho chote hatukuwahi kuishi pamoja mkuu, ndio tumeishi week moja tu sasa naiona iyo hali. Pia ukisema muongo unamaanisha izo nguvu za ajabu alizonionesha mbele yangu zilitoka wapi?
Majini yanakuja nusu saa kisha yanasepa kuna shida gani tena wengi tulio kuwa nao kichwani hawapendi uchafu yaani kuchepuka no,Ukileta ujinga wanakupa adhabu.Kitì kama kiti 😁
Kwa hiyo baba chanja wako kaoa 2 in 1
Wakuu kwema?
Ipo hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani Kwa muda wa miaka mitatu.
Mwanzoni mwa mwaka huu nikasema sasa ni muda muafaka wa Mimi kwenda nyumbani kwao nikatoe mahari ili nimiliki mke rasmi.
Kweli tarehe za mwanzo wa mwezi January mwaka huu, nilipeleka ujumbe wangu kwao na binti, tukakubaliana mahari, nikalipa kiasi chote cha mahari tulichokubaliana.
Sasa wakati tukiwa tumeanza taratibu zingine ili tufunge ndoa ya bomani kwa maana tunatofauti ya kiimani Kati yetu, Ndipo nimegundua hii kitu.
Binti ana maruhani/majini, nimeshuhudia kwa macho yangu akifanya jambo lisilo la kawaida.
Tulikiwa tunakula chakula wote, mara gafla akaanza kudai kifua kinamuuma na akaanza kujishika kifua chake karibu na shingo na kujibana.
Kwakuwa sikuwahi kumuona kwenye hali hiyo, Nilinyanyuka gafla kutoka kweny kiti nilichokuwa nimekaa ili kumpa msaada Lakini nilikutana na upinzani wa hali ya juu sana kutoka kwake. Niliomba msaada kwa majilani ndipo walitokea watu wa wakunisaidia na hapo hapo nikapiga simu kwao ili nipate ufafanuzi labda hii hali wanaijua, wakaniambia nimwache atatulia mwenyewe.
Baada ya siku mbili kupita nimekaa nae chini kumuuliza kwanini alikuwa vile majibu yake ni kuwa ana Majini, nimejaribu kuuliza baadhi ya ndugu zake nao kumbe wanafahamu.
Nimemuuliza kwanini hakuniambia mapema majibu yake eti ningemuacha, sasa nifanyeje ndugu zangu na mahari nimeshalipa?
Mkuu hapana jini mahaba hana mda wa kuonesha vituko kama yupo huyo huwa anadili na ridhiki zote na kuota usiku unafanya uchafu hana mda wa kuja eti umepandisha.Kwa maelezo yako, inaonekana binti tayari alishaingia kwenye ndoa na majini hili ni jambo ambalo lipo sana hasa kwa akina dada lakini hata akina kaka. Hayo hapo ni aina ya majini wanaita jini mahaba.
Kwa hivyo kuna mkataba wa ndoa tayari kati ya binti na jini hilo mahaba uliofanywa kwa binti kujua anafanya nini au bila kujua. Ndoa hiyo lazima ivunjwe kabla ya wewe kuweza kumwoa binti huyo. Bila hivyo hutaweza kumwoa na hata mkifunga ndoa yenu hiyo Mahakamani ni bure tu, mtaishia kupata matatizo ya kila aina, mara ugonjwa, mara mimba kutoka, mara ugomvi na mwisho lazima ndoa itavunjika.
Inategemea imani yako lakini kwa vyovyote shughulika na kuvunja hiyo ndoa na ndipo uweze kufunga ya kwako. Ipo kazi kwani majini mahaba yana wivu mkubwa.
Mkuu mahari sio kitu, wala sina shida kuiacha, ninachowaza ni je sitapatwa na ivo vitu? Pia ni MTU anayenijali Sana kama mume wake na amekuwa akilia nisimuache Kwa sababu ya ilo tatizo lake, kwaio namimi ninamuonea huruma kumuachaMkuu kwani mahari umelipa sh ngap unafikiri mkija kuzaa na kuish so called mille utaweza kutolarate ebu acha ujinga piga chini na majini yake yamuoe au yamuache
Sasa yakipanda wakati baba chanja anakula mzigo si anawala wote ama?Majini yanakuja nusu saa kisha yanasepa kuna shida gani tena wengi tulio kuwa nao kichwani hawapendi uchafu yaani kuchepuka no,Ukileta ujinga wanakupa adhabu.
Ni kweli ataharibu uchumi, mahusiano na atafanya kupandisha pia. Hayo yametokea wiki moja tu baada ya hao kuanza kuishi pamoja, kwa hivyo hayo yote ni protest ya jini kwamba ameingiliwa ndoa yake.Mkuu hapana jini mahaba hana mda wa kuonesha vituko kama yupo huyo huwa anadili na ridhiki zote na kuota usiku unafanya uchafu hana mda wa kuja eti umepandisha.