Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Hao majini wachafu mimi naweza kukaa mpaka mwaka wasije labla nitake mwenyewe kuwaita nikiwa na jambo langu.Sasa yakipanda wakati baba chanja anakula mzigo si anawala wote ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao majini wachafu mimi naweza kukaa mpaka mwaka wasije labla nitake mwenyewe kuwaita nikiwa na jambo langu.Sasa yakipanda wakati baba chanja anakula mzigo si anawala wote ama?
Majini wako wa aina nyingi ila comment yako sio sifa ya jinn mahaba.Ni kweli ataharibu uchumi, mahusiano na atafanya kupandisha pia. Hayo yametokea wiki moja tu baada ya hao kuanza kuishi pamoja, kwa hivyo hayo yote ni protest ya jini kwamba ameingiliwa ndoa yake.
Japo nimefanya kama utani ila naona unajibu toka moyoni. Big up dada Nuzulat kwa maelezo mazuriHao majini wachafu mimi naweza kukaa mpaka mwaka wasije labla nitake mwenyewe kuwaita nikiwa na jambo langu.
Tafuta namna ya kumsaidia kumtoa hayo majini au jipange vile utaweza kuishi nae na Hali yake ukishindwa hayo sema nae kwa amani mtapata muafaka wa pamoj
Una uelewa na hayo mambo?Hakuna mkamilifu harafu kama ndani ya miaka 3 hakuna usumbufu kuna ubaya gani akioa,mbona mimi ninayo huu mwaka wa nne niko na baba chanja wangu😀
Mpeleke kwenye maombiYani mkuu we Acha tu, haya mambo unaweza ukazani ni masihara , siku yanakukuta ndio unajua hii dunia bado hujaona kila kitu
Aisee bora malaya kuliko mwenye majini, anaweza akakunyonga usiku ufe 😆Muache huyo mwenye majini ili uoe Mwanamke malaya,ukeshe Jf kufungua nyuzi za kuomba ushauri kwa mara nyingine😁
Nimeyasikia kwa wengi yakipanda na kutamka; huyu ni mke wangu...nk kwani useme jini mahaba hapandi? Sio kweli.Majini wako wa aina nyingi ila comment yako sio sifa ya jinn mahaba.
Masuala ya Kula tunda kimasihara.Nipe location nije nimtibu mke wako mkuu.
Umewahi kusikia wapi mkuu mtu mwenye majini kamnyonga mpenzi wake wakati wa tendo wale nao wanaheshimu furaha ya mtu😁😁😁Aisee bora malaya kuliko mwenye majini, anaweza akakunyonga usiku ufe 😆
Wakati wa tendo majini yanaweza yakapanda akatoka nje nduki mkaanza kimbizana mtaani uchi 😆
Msamehe tu alafu usimuache tafuta namna ya kumsaidiaWakuu kwema?
Ipo hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani Kwa muda wa miaka mitatu.
Mwanzoni mwa mwaka huu nikasema sasa ni muda muafaka wa Mimi kwenda nyumbani kwao nikatoe mahari ili nimiliki mke rasmi.
Kweli tarehe za mwanzo wa mwezi January mwaka huu, nilipeleka ujumbe wangu kwao na binti, tukakubaliana mahari, nikalipa kiasi chote cha mahari tulichokubaliana.
Sasa wakati tukiwa tumeanza taratibu zingine ili tufunge ndoa ya bomani kwa maana tunatofauti ya kiimani Kati yetu, Ndipo nimegundua hii kitu.
Binti ana maruhani/majini, nimeshuhudia kwa macho yangu akifanya jambo lisilo la kawaida.
Tulikiwa tunakula chakula wote, mara gafla akaanza kudai kifua kinamuuma na akaanza kujishika kifua chake karibu na shingo na kujibana.
Kwakuwa sikuwahi kumuona kwenye hali hiyo, Nilinyanyuka gafla kutoka kweny kiti nilichokuwa nimekaa ili kumpa msaada Lakini nilikutana na upinzani wa hali ya juu sana kutoka kwake. Niliomba msaada kwa majilani ndipo walitokea watu wa wakunisaidia na hapo hapo nikapiga simu kwao ili nipate ufafanuzi labda hii hali wanaijua, wakaniambia nimwache atatulia mwenyewe.
Baada ya siku mbili kupita nimekaa nae chini kumuuliza kwanini alikuwa vile majibu yake ni kuwa ana Majini, nimejaribu kuuliza baadhi ya ndugu zake nao kumbe wanafahamu.
Nimemuuliza kwanini hakuniambia mapema majibu yake eti ningemuacha, sasa nifanyeje ndugu zangu na mahari nimeshalipa?
Inaonesha binti hayuko tayari kukuacha, mpe sharti, kama anataka kuendelea kuwa na wewe umpeleke kwa watumishi akaombewe huo uchafu umtoke. Akikataa mrudishe kwao.Mkuu mahari sio kitu, wala sina shida kuiacha, ninachowaza ni je sitapatwa na ivo vitu? Pia ni MTU anayenijali Sana kama mume wake na amekuwa akilia nisimuache Kwa sababu ya ilo tatizo lake, kwaio namimi ninamuonea huruma kumuacha
Nijuavyo mimi mkuu ila kama ni hivyo sawaNimeyasikia kwa wengi yakipanda na kutamka; huyu ni mke wangu...nk kwani useme jini mahaba hapandi? Sio kweli.
Mpeleke kwenye maombi
Mkuu hata Mimi nilikuwa nachukulia mambo kimasihara hivi hivi humu jamvini kama wew, paka pale yamenikuta ndio Naona kumbe kuna kupatwa na maswahibuYaani mahari ya mke mmoja nae kaja na faida ya michepuko ya kijini😋 Zari la Mentali ndilo hili🤣🤣