Baada ya kulipa Mahari kwao Ndipo nimegundua ana Majini

Baada ya kulipa Mahari kwao Ndipo nimegundua ana Majini

Oyah,!😀

4E964760-6778-4D2C-AE5F-2C465CD5EAFA.jpeg
 
Jifanye hujatoa mahari kwamba umevurugikaaa ....hudai chochote ...unatoka ndukiii
 
Pesa sio kila kitu, msaada

Mkuu Hilo ndio namimi nalihofia, ku deal na vitu visivyoonekana ni jambo lisilomithilika. Hofu yangu ni kwamba ikitokea akajua ninamwacha kwa sababu ya hayo mavitu je hawezi yatumia dhidi yangu kunidhuru? Ukizingatia ni MTU anayenipenda sana kwaio atafanya kisasi namm kuona nimemwacha
Hapana...90% ya malalamiko atayokwambia anaumwa sio ugonjwa ila Hayo mapepo na lengo ni kukuachanisha tu na wewe hamna kingine Yani Huwa wanataka akae yeye kama yeye so ukimuacha kibinadamu yy atajisikia vibaya ila kwa Hayo madude yatakua yamefurah na hii yote inatokea kutokana na Imani Yako mana coz wanajua utamsaidia na wao watakosa pa kuishi so Bora kuwaachanisha ila kama uko vizuri MSAIDIE BRO atakupenda sana huyo mwanamke Cha muhimu akusikilize Kila utachomwambia.
 
Ita wazee wako sema kwenu kuna majinwi mabaya pia na kwamba wamecheki

Ndio yenu haitawezekana maana hamtaendana mutaishia kuuwanwa

Lazima uchomoke ndugu, Mola kakuonyesha mapemaa na usaliti wao kitu kibaya.

Wanaweza sema ushaoa kwa kutoa mahali kimila, kataa ongea na wazee mupange waende wakatae kama above or fikiria mengine.

Hata hiyo ya mahali tu kutoa nenda kasaliwe haswaaaa, alichokuletea ukitoe mapemaaaaaa.
 
Wakuu kwema?
Ipo hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani Kwa muda wa miaka mitatu.

Mwanzoni mwa mwaka huu nikasema sasa ni muda muafaka wa Mimi kwenda nyumbani kwao nikatoe mahari ili nimiliki mke rasmi.

Kweli tarehe za mwanzo wa mwezi January mwaka huu, nilipeleka ujumbe wangu kwao na binti, tukakubaliana mahari, nikalipa kiasi chote cha mahari tulichokubaliana.

Sasa wakati tukiwa tumeanza taratibu zingine ili tufunge ndoa ya bomani kwa maana tunatofauti ya kiimani Kati yetu, Ndipo nimegundua hii kitu.
Binti ana maruhani/majini, nimeshuhudia kwa macho yangu akifanya jambo lisilo la kawaida.

Tulikiwa tunakula chakula wote, mara gafla akaanza kudai kifua kinamuuma na akaanza kujishika kifua chake karibu na shingo na kujibana.

Kwakuwa sikuwahi kumuona kwenye hali hiyo, Nilinyanyuka gafla kutoka kweny kiti nilichokuwa nimekaa ili kumpa msaada Lakini nilikutana na upinzani wa hali ya juu sana kutoka kwake. Niliomba msaada kwa majilani ndipo walitokea watu wa wakunisaidia na hapo hapo nikapiga simu kwao ili nipate ufafanuzi labda hii hali wanaijua, wakaniambia nimwache atatulia mwenyewe.

Baada ya siku mbili kupita nimekaa nae chini kumuuliza kwanini alikuwa vile majibu yake ni kuwa ana Majini, nimejaribu kuuliza baadhi ya ndugu zake nao kumbe wanafahamu.

Nimemuuliza kwanini hakuniambia mapema majibu yake eti ningemuacha, sasa nifanyeje ndugu zangu na mahari nimeshalipa?
Hayaitwi majini insitwa MALERIA YA KIARABU( ARABIC MALARIA)
 
Inawezekana lipo kusudi la kukutanishwa nae.
Kama umempenda unaweza kumsaidia kwani hakuna kinachoshindikana kwa MUNGU ila kabla ya kuanza kumsaidia hakikisha unakuwa na vitu vifuatavyo
1. Uwe vizuri kiimani yaani uwe unajua kuomba vizur, Kusali na kutoa sadaka.
2. Uwe jasiri na mwenye msimamo USIOGOPE kwani Kuna muda atakua anabadilika zaid ya hapo unaweza kufikiri unaongea naye au unagombana naye kumbe ni PEPO
3. Usitende dhambi kabisa hasahasa KUZINI kwani mwenyeew utakua unajisindika kaburini kwa kuruhusu mashambulizi.
4. Funga ndoa ya kiimani kama kanisani sio Bomani kwani hyo ya Bomani Haina ulinzi wowote wa kimungu MNAZINI hapo tambua.
5. Uwe mtu wa kufunga at least kwa mwezi mara 3 ili ukae vizuri

MWISHO
Mara nyingi wazazi Huwa wajua haya mambo na Huwa wanawawekea watoto wao ulinzi wa majini pasipo kujua madhara ya baadae kama mikosi,kutoshika ujauzito,mzunguko wa hedhi usio na mpangilio ukiambatana na maumivu makali,kutofanikiwa kiuchumi na mahusiano na kuota ndoto mbaya alafu wenyewe wanaita MAJINI WAZURI.
Hivo kama utaweza kufata ushauri wa hapo juu utamkua mshindi na mtu mwenye mafanikio kama huwezi ACHA kwani vita ya kutoa Hayo madude na huku MNAZINI ni Kali sana utakufa siku sio zako.
KILA LA KHER I!!
Kusema ukweli nina muda sijishugulishi na mambo ya kusali na ibada na hii imechangiwa Kwa kiasi kikubwa na mijadala humu jukwaani.
Kufunga ndoa ya bomani ilikuwa ndio njia muafaka kutokana na tofaut ya kiimani ya familia zetu, huku wao wakimpa jukumu binti ahakikishe amenibadili dini na tuje kufunga ndoa ya Imani yao lakini namimi moyoni mwangu nimejiambia nitambadili dini na kufunga nae ndoa kweny Imani yangu. Sasa ndio nimekuja kujua hili jambo week iliyopita
 
Haya mambo kuna muda ni kama maigizo tu (japo naamini kuna magonjwa ambayo hufatana na hizi imani) Hapo jiandae na ndoa mbili yaani unamuoa yeye halafu baadae unayaoa majini yake.
 
Mkuu kuwa makini hapo hv kweli miaka mitatu hata kama hamuishi wote naamini ungejua tu kama kweli anamajini ila kuna kitu hapo kinakuja kua makini utakuja kutoa shuhuda hapa.
 
Kusema ukweli nina muda sijishugulishi na mambo ya kusali na ibada na hii imechangiwa Kwa kiasi kikubwa na mijadala humu jukwaani.
Kufunga ndoa ya bomani ilikuwa ndio njia muafaka kutokana na tofaut ya kiimani ya familia zetu, huku wao wakimpa jukumu binti ahakikishe amenibadili dini na tuje kufunga ndoa ya Imani yao lakini namimi moyoni mwangu nimejiambia nitambadili dini na kufunga nae ndoa kweny Imani yangu. Sasa ndio nimekuja kujua hili jambo week iliyopita
Kama mwanamke kwa maamuzi yake atakomaa asibadili dini
Kusema ukweli nina muda sijishugulishi na mambo ya kusali na ibada na hii imechangiwa Kwa kiasi kikubwa na mijadala humu jukwaani.
Kufunga ndoa ya bomani ilikuwa ndio njia muafaka kutokana na tofaut ya kiimani ya familia zetu, huku wao wakimpa jukumu binti ahakikishe amenibadili dini na tuje kufunga ndoa ya Imani yao lakini namimi moyoni mwangu nimejiambia nitambadili dini na kufunga nae ndoa kweny Imani yangu. Sasa ndio nimekuja kujua hili jambo week iliyopita
Kama mwanamke kwa maamuzi yake atakomaa kutobadili dini boss piga chini hutoweza huo mziki na shkuru Bado hujampa ujauzito.
 
Pesa sio kila kitu, msaada

Mkuu Hilo ndio namimi nalihofia, ku deal na vitu visivyoonekana ni jambo lisilomithilika. Hofu yangu ni kwamba ikitokea akajua ninamwacha kwa sababu ya hayo mavitu je hawezi yatumia dhidi yangu kunidhuru? Ukizingatia ni MTU anayenipenda sana kwaio atafanya kisasi namm kuona nimemwacha
akili ya ziada inahitajika. Mwambie ukweli asione kama umemkataa direct kisa hio sababu go around the bush.

Swali: kipind mnafunga ndoa upande waku ukuleta ndugu au familia wa shuhudie zoezi?

Ukiendelea kuishi nae ndo utajua dunia chungu utakosa raha maishan na hapo hamjapata watot. Ku deal ma hvyo vitu spiritual ni ishu ngumu na ukionekana ww ndo king'ang'a wa kutaka kuyatoa majini lazima yatakutafta tu y lipize kama imani yko ipo chini.. vita y spiritual n ngumu usishangae wakakimbilia engo ya riziki yako na wewe unasubiri usumbuliwe usiku

Tumia gear ya ndugu wako hawajapend uishi nae umrudishe kwao kw muda. Wa kwao ndo wa deal kuyatoa so wewe ambae hujui chimbuko la tatzo ilo
 
Mkuu kuwa makini hapo hv kweli miaka mitatu hata kama hamuishi wote naamini ungejua tu kama kweli anamajini ila kuna kitu hapo kinakuja kua makini utakuja kutoa shuhuda hapa.
Aisee hata Mimi nimeshangaa Sana, ndani kwangu imekuwa ni kama nyumba yenye msiba, siku ya sita hii analia tu nisimuache kisa ana ilo tatizo. Nimekaa nalo moyoni nikaona linanielemea nikaona nishee nanyi hapa labda ntapata faraja kidogo
 
mmmh ngumu kumeza ningekuwa ni mimi ningemuacha
usumbufu utakaoupata ni zaidi ya mahali ulizolipa.
hujiulizi kwa nini alisema angekwambia mapema ungemuacha
 
akili ya ziada inahitajika. Mwambie ukweli asione kama umemkataa direct kisa hio sababu go around the bush.

Swali: kipind mnafunga ndoa upande waku ukuleta ndugu au familia wa shuhudie zoezi?

Ukiendelea kuishi nae ndo utajua dunia chungu utakosa raha maishan na hapo hamjapata watot. Ku deal ma hvyo vitu spiritual ni ishu ngumu na ukionekana ww ndo king'ang'a wa kutaka kuyatoa majini lazima yatakutafta tu y lipize kama imani yko ipo chini.. vita y spiritual n ngumu usishangae wakakimbilia engo ya riziki yako na wewe unasubiri usumbuliwe usiku

Tumia gear ya ndugu wako hawajapend uishi nae umrudishe kwao kw muda. Wa kwao ndo wa deal kuyatoa so wewe ambae hujui chimbuko la tatzo ilo
Ndoa hatujafunga, nimelipa tu mahali mbele ya Baba, babu, Kaka na mjomba zake
 
Back
Top Bottom