Baada ya kulipa Mahari kwao Ndipo nimegundua ana Majini

Baada ya kulipa Mahari kwao Ndipo nimegundua ana Majini

N
akili ya ziada inahitajika. Mwambie ukweli asione kama umemkataa direct kisa hio sababu go around the bush.

Swali: kipind mnafunga ndoa upande waku ukuleta ndugu au familia wa shuhudie zoezi?

Ukiendelea kuishi nae ndo utajua dunia chungu utakosa raha maishan na hapo hamjapata watot. Ku deal ma hvyo vitu spiritual ni ishu ngumu na ukionekana ww ndo king'ang'a wa kutaka kuyatoa majini lazima yatakutafta tu y lipize kama imani yko ipo chini.. vita y spiritual n ngumu usishangae wakakimbilia engo ya riziki yako na wewe unasubiri usumbuliwe usiku

Tumia gear ya ndugu wako hawajapend uishi nae umrudishe kwao kw muda. Wa kwao ndo wa deal kuyatoa so wewe ambae hujui chimbuko la tatzo ilo
Nimejaribu kumuuliza hali hii ikikutokea unafanyaje, anadai anasomewa dua , au mama yake anapigiwa cm ili naye amfanyie dua. Mama yake anafanya biashara ya kusafiri kwenda mikoani hivyo iyo hali inaweza kumtokea mama akiwa hayupo nyumban.

Nikamuuliza inakutokea mara ngapi anadai inaweza pita miezi bila kuona Hali iyo, lakin kuna wakati inaweza kumtokea mara kwa mara.

Nikamuuliza Madhara gani ambayo huyapata anadai anaweza kujiumiza, Kwa sababu huwa anajibuluza na kugalagala chini, kugonga vitu na kuleta fujo wakati mwingine pale MTU unapojaribu kumzuia kile anachokuw anakifanya.
Pia anadai Akitulia hakumbuki alichokuwa anafanya.

Nikamuuliza mama yake hili jambo akaniambia akirudi tutazungumza. Kwaio ndio nilipofika hapa.
 
N

Nimejaribu kumuuliza hali hii ikikutokea unafanyaje, anadai anasomewa dua , au mama yake anapigiwa cm ili naye amfanyie dua. Mama yake anafanya biashara ya kusafiri kwenda mikoani hivyo iyo hali inaweza kumtokea mama akiwa hayupo nyumban.

Nikamuuliza inakutokea mara ngapi anadai inaweza pita miezi bila kuona Hali iyo, lakin kuna wakati inaweza kumtokea mara kwa mara.

Nikamuuliza Madhara gani ambayo huyapata anadai anaweza kujiumiza, Kwa sababu huwa anajibuluza na kugalagala chini, kugonga vitu na kuleta fujo wakati mwingine pale MTU unapojaribu kumzuia kile anachokuw anakifanya.
Pia anadai Akitulia hakumbuki alichokuwa anafanya.

Nikamuuliza mama yake hili jambo akaniambia akirudi tutazungumza. Kwaio ndio nilipofika hapa.
Wata kutuliza tu kwa asurance. Na kwenu ukiwaambia hawata kukbalia ilo jambo..

Ukikabaliana na io hali basi jiandae kisaikolojia na yajayo hko mbeleni
We onyesha hujakubali kubaki nae mpk tatzo litakapo solviwa ndo mtaendelea n mengine. Fikiria akibeba ujauzito varangati la hpo. Mpange maza ake kwamba iyo hali ujaikubali na waifanyie kazi mambo ya huruma n uvumilivu achana nayo kw sasa mpaka uone effort y wao kupambana na iyo hali
 
Wakuu kwema?
Ipo hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani Kwa muda wa miaka mitatu.

Mwanzoni mwa mwaka huu nikasema sasa ni muda muafaka wa Mimi kwenda nyumbani kwao nikatoe mahari ili nimiliki mke rasmi.

Kweli tarehe za mwanzo wa mwezi January mwaka huu, nilipeleka ujumbe wangu kwao na binti, tukakubaliana mahari, nikalipa kiasi chote cha mahari tulichokubaliana.

Sasa wakati tukiwa tumeanza taratibu zingine ili tufunge ndoa ya bomani kwa maana tunatofauti ya kiimani Kati yetu, Ndipo nimegundua hii kitu.
Binti ana maruhani/majini, nimeshuhudia kwa macho yangu akifanya jambo lisilo la kawaida.

Tulikiwa tunakula chakula wote, mara gafla akaanza kudai kifua kinamuuma na akaanza kujishika kifua chake karibu na shingo na kujibana.

Kwakuwa sikuwahi kumuona kwenye hali hiyo, Nilinyanyuka gafla kutoka kweny kiti nilichokuwa nimekaa ili kumpa msaada Lakini nilikutana na upinzani wa hali ya juu sana kutoka kwake. Niliomba msaada kwa majilani ndipo walitokea watu wa wakunisaidia na hapo hapo nikapiga simu kwao ili nipate ufafanuzi labda hii hali wanaijua, wakaniambia nimwache atatulia mwenyewe.

Baada ya siku mbili kupita nimekaa nae chini kumuuliza kwanini alikuwa vile majibu yake ni kuwa ana Majini, nimejaribu kuuliza baadhi ya ndugu zake nao kumbe wanafahamu.

Nimemuuliza kwanini hakuniambia mapema majibu yake eti ningemuacha, sasa nifanyeje ndugu zangu na mahari nimeshalipa?
Hayo sio majini ni stress tu za maisha
 
Mshike Yesu jwa kumaanisha,mpeleke kwa waombeaji katika kanisa la kiroho yatakimbia yote hayo...
 
Kama nyie ni waislam naona ni kawaida tu, wengi wanayo hayo maruhani. Kama ni wakristo hapo ndio changamoto.
 
Umewahi kusikia wapi mkuu mtu mwenye majini kamnyonga mpenzi wake wakati wa tendo wale nao wanaheshimu furaha ya mtu😁😁😁
Watu wakifanya mapenz Huwa yanachungulia auπŸ˜ƒ
Nimemkumbuka jirani yangu yeye akitaka kuchepuka anapandisha huko huko hata km ni guest na anarudi nyumbn ivoivo km alikuwa kaanza kuvua ni anatoka hivohivo anakuja Kwa mumewe 🀣🀣🀣🀣
 
Ila si inapenyaaa??? Majini yataachiaa ukiwekaa vizuriii
 
Ukishapewa jibu la kuwa mwache atatulia mwenyewe ujue huyo ni kichaa au mapepo
 
Anasema toka alipokuwa mdogo alikua ana iyo hali, pia akiwa na hasira/ghazabu ndio inatokea mara Kwa mara.
Sasa mi nimemuona iyo mara moja tu na tulikuwa tupo very peaceful tunakula na kupiga story mbili tatu
Mm ukweli km ya aina hiyo yanatesa Kuna mdada nilimuona yeye akikasirika tu anaweza hata kuanguka mwingine akiona msiba anaanguka
 
N

Nimejaribu kumuuliza hali hii ikikutokea unafanyaje, anadai anasomewa dua , au mama yake anapigiwa cm ili naye amfanyie dua. Mama yake anafanya biashara ya kusafiri kwenda mikoani hivyo iyo hali inaweza kumtokea mama akiwa hayupo nyumban.

Nikamuuliza inakutokea mara ngapi anadai inaweza pita miezi bila kuona Hali iyo, lakin kuna wakati inaweza kumtokea mara kwa mara.

Nikamuuliza Madhara gani ambayo huyapata anadai anaweza kujiumiza, Kwa sababu huwa anajibuluza na kugalagala chini, kugonga vitu na kuleta fujo wakati mwingine pale MTU unapojaribu kumzuia kile anachokuw anakifanya.
Pia anadai Akitulia hakumbuki alichokuwa anafanya.

Nikamuuliza mama yake hili jambo akaniambia akirudi tutazungumza. Kwaio ndio nilipofika hapa.
🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom