Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

Thamani ya hicho chuo na mipesa Taasisi za kikristo zinapata ni sawa na kulinganisha kisima na ziwa victoria.

Mabilioni na manufaa wanayopata wakatoliki kwa hiyo MoU ni sawa na vyuo hivyo 100

Chuo kilitolewa mara moja , wakati mabilioni kwenda kwa kanisa yanayolewa kila mwaka.
Yanatokaje hayo mabilioni? na upitia wizara ipi? Hayo mabilioni yako kwenye bajeti y serikali? na ujadiriwa pale Dodoma? Naomba ufafanuzi mkuu kama una ABC ya MoU.
 
Kwa nini serikali ijenge Hospitali sehemu zenye Hospitali kubwa na za kisasa??
Ziwe Hospitali za kanisa au za msikiti.
Hizo zitakuwa akili au matope?!
Nchi hii kuna mikoa na wilaya wananchi wanasafiri mamia ya Kilometa kufuata Hospitali nzuri, serikali ijenge hospitali huko kwanza kabla ya kutaka kushindana na kanisa kuongeza hospital maeneo yenye hospitali bora tayari.
Hawa watu wanaoendeleza Udini ni wajinga tu. Ukiwauliza ni jinsi gani wanafaidika na dini zao hawataweza kukupa jibu.

Mimi ni Mkatoliki na nimezaliwa kwenye familia ya Kikatiliki. Lakini pamka kesho sioni ni jinsi gani nafaidka na utajiri wa kanisa zaidi ya kutoa sadaka na zaka.

Hao wapiga kelele ningewaelewa kama Kanisa lingekuwa linatoa ajira au matibabu kwa Wakatoliki peke yao. Nevertheless, hao wanaolialia na kjifanya wanapigania dini zao wasije shangaa watoto wao au wajukuu zao wanakuwa dini tofauti na zao kwa sasa. Leo wewe mkrtisto kesho mjukuu wako ni mwislamu and vice vesa.
 
Njaa mbaya sana, kwa akili yako unahisi mabilioni yanapelekwa kanisani au kwenye miradi ambayo serikali imeingia ubia? Mfano hayo mabilioni yakipelekwa kwenye hospital inayomilikiwa na kanisa lakini ina wafanyakazi kibao waajiriwa wa serikali (mfano Bugando Mwanza, KCMC Moshi, Baptist Kigom n.k) yakanunua madawa na vifaa tiba na kugharamia uendeshaji kidogo ndo kanisa linakuwa limenufaika!? Kabla ya huo ubia hospital zilikuwa zinajiendeshaje? Acheni upumbavu wa kidini na kimasikini kwenye mambo ya msingi kama afya za watu.
Sitegemei kama kuna siku watakaa waelewe, wakishaona neno "kanisa" kwenye mada yoyote huwa wanachanganyikiwa akili wanaziweka pembeni, kinachobaki hapo ni kurukia mada kwa mihemko tu, matokeo yake swali moja tu akiulizwa anajidai halioni!.

Ajabu bado hajifunzi, usishangae kesho tena akarudia kuandika utumbo huo huo aliokosa majibu yake leo, udumavu wa kifikra ni jambo baya sana, they live and act like robots.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wakati sakata like linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.

Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .

Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la do world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.

Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake

Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kujib sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???

Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.

Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.

Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.

Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
DP World ni suala la kiuchumi ambalo wewe mleta mada unalichanganya na udini na hivyo kupoteza kabisa mantiki nzima ya uwekezaji pale bandari.

DP World wapo Uingereza, wapo Belgium, wapo pia India, na huko kote kuna masuala ya ukristo na uislam?.

Mimii ni mkatoliki kindakindaki ni mwanachama wa Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Thomas More Mbezi Beach lakini naelewa DP World wanazo faida zipi kwenye uendeshaji mzima wa TPA na kwenye uchumi mzima wa Taifa.
 
Thamani ya hicho chuo na mipesa Taasisi za kikristo zinapata ni sawa na kulinganisha kisima na ziwa victoria.

Mabilioni na manufaa wanayopata wakatoliki kwa hiyo MoU ni sawa na vyuo hivyo 100

Chuo kilitolewa mara moja , wakati mabilioni kwenda kwa kanisa yanayolewa kila mwaka.
Wekezeni maeneo mtambuka na kipaumbele kwa serikali na jamii kwa ujumla muone Kama serikali haitakubaliana nanyi ili mtoe huduma zitakazowamwagia mabilioni kwa miaka nenda Rudi. Tatizo hapo ninyi wenyewe na wanaowaongoza, fursa zinatafutwa lazima ifike mahala muwe na mikakati muhimu. Nafikiri, mmewekeza muda mwingi kuwachamba na kuwachambua wakristo hususani RC na kulialia muda mwingi badala ya kujipambanua kikamilifu katika kujenga uchumi wenu. Aidha, Ilmu akhera ni muhimu ni kweli, lakini msisahau mnaishi duniani ambako hekaheka ni nyingi hivyo msiache Ilmu dunia. Nafanya kazi vijijini kwenye mkoa mmojawapo wa kusini, Nina mifano hai. Tuwajibike na kupendana
 
Una elimu gani kwanza? Huo mkataba uko wapi? Kanisa katoliki halijawahi kuiomba serikali yako iingie mkataba wowote ila ni serikali inayotumia miradi ya kanisa kuhudumia wananchi wake (hospitals, vyuo, shule n.k) na mara nyingi ni katika maeneo ambayo serikali bado haijapeleka huduma za kijamii au katika maeneo ambayo serikali imepeleka huduma lakini hazina ubora.
Kanisa bila serikali yako linajitosheleza mno na halijawahi kuhitaji msaada na kwa taarifa yako kuna baadhi ya maeneo kanisa liliandika barua za kuvunja ushirikiano huo kutokana na serikali yako kutowajibika! Hivi kwa akili yako serikali hii inayoshindwa kuweka madawati kwenye vyumba vya madarasa inaweza kulifanyia nini kanisa!? Rudi madrasa katunge upuuzi mwingine.
Huu ni mtaji mkubwa sana kwenye liChama letu !
Miss understanding between people regarding their faith !!
Tutasubiri sana !!
Chama kimeshika hatamu na kitaendelea milele !!
Tutakuwa tunasema ni bora hao hao tuliowazoea maana Zimwi likujualo halikuli likakwisha !
😂😂😂🤣 wenye dini zenu poleni sana !!
 
Una elimu gani kwanza? Huo mkataba uko wapi? Kanisa katoliki halijawahi kuiomba serikali yako iingie mkataba wowote ila ni serikali inayotumia miradi ya kanisa kuhudumia wananchi wake (hospitals, vyuo, shule n.k) na mara nyingi ni katika maeneo ambayo serikali bado haijapeleka huduma za kijamii au katika maeneo ambayo serikali imepeleka huduma lakini hazina ubora.
Kanisa bila serikali yako linajitosheleza mno na halijawahi kuhitaji msaada na kwa taarifa yako kuna baadhi ya maeneo kanisa liliandika barua za kuvunja ushirikiano huo kutokana na serikali yako kutowajibika! Hivi kwa akili yako serikali hii inayoshindwa kuweka madawati kwenye vyumba vya madarasa inaweza kulifanyia nini kanisa!? Rudi madrasa katunge upuuzi mwingine.
Tatizo hawafuatilii, wanaongea tu kwa hisia za juu hawajui wakristo wanapambana kiasi gani kujitegemea na kutegemewa. Waambie kwa RC na wakristo kwa ujumla kauli mbiu ni "Ora et labora" (Kazi na Sala) matokeo yake Hadi madhehebu yaliyoanza juzi juzi tu unakuta tayari ya shule ama vyuo, na hata hospitals! Na isingekuwa hata lami wangeweka na ndio maana baadhi ya maeneo hata umeme na miradi mikubwa ya maji ni wao wameidhamini kwa zaidi ya asilimia 90
 
DP World ni suala la kiuchumi ambalo wewe mleta mada unalichanganya na udini na hivyo kupoteza kabisa mantiki nzima ya uwekezaji pale bandari.

DP World wapo Uingereza, wapo Belgium, wapo pia India, na huko kote kuna masuala ya ukristo na uislam?.

Mimii ni mkatoliki kindakindaki ni mwanachama wa Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Thomas More Mbezi Beach lakini naelewa DP World wanazo faida zipi kwenye uendeshaji mzima wa TPA na kwenye uchumi mzima wa Taifa.
Kweli kabisa 🙏
Mimi mara nyingi huwa najiuliza hii inayoitwa Great thinkers ni nini hasa !
😅😅🙏
 
Kwa nini serikali ijenge Hospitali sehemu zenye Hospitali kubwa na za kisasa??
Ziwe Hospitali za kanisa au za msikiti.
Hizo zitakuwa akili au matope?!
Nchi hii kuna mikoa na wilaya wananchi wanasafiri mamia ya Kilometa kufuata Hospitali nzuri, serikali ijenge hospitali huko kwanza kabla ya kutaka kushindana na kanisa kuongeza hospital maeneo yenye hospitali bora tayari.
Ili tuendelee kuimarisha RC kwa fedha nyingi wanazotoza
 
Ili tuendelee kuimarisha RC kwa fedha nyingi wanazotoza
Kwani hospitali gani ya private wanatoza chini au sawa na serikali?
Kama huduma ni Bora na inakubalika lazima gharama zake zitakuwa tofauti. Uzuri hakuna anayelazimishwa kutibiwa hospital hizo ni maaumuzi ya mgonjwa na familia yake kwenda private au government. Kizuri gharama boss
 
Wakati sakata like linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.

Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .

Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la do world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.

Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake

Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kujib sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???

Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.

Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.

Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.

Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
Imeshaisha hiyo
 
Hawa watu wanaoendeleza Udini ni wajinga tu. Ukiwauliza ni jinsi gani wanafaidika na dini zao hawataweza kukupa jibu.

Mimi ni Mkatoliki na nimezaliwa kwenye familia ya Kikatiliki. Lakini pamka kesho sioni ni jinsi gani nafaidka na utajiri wa kanisa zaidi ya kutoa sadaka na zaka.

Hao wapiga kelele ningewaelewa kama Kanisa lingekuwa linatoa ajira au matibabu kwa Wakatoliki peke yao. Nevertheless, hao wanaolialia na kjifanya wanapigania dini zao wasije shangaa watoto wao au wajukuu zao wanakuwa dini tofauti na zao kwa sasa. Leo wewe mkrtisto kesho mjukuu wako ni mwislamu and vice vesa.
Wap hayo matibabu yanatolewa bure???mbna mweupe hv
 
Wekezeni maeneo mtambuka na kipaumbele kwa serikali na jamii kwa ujumla muone Kama serikali haitakubaliana nanyi ili mtoe huduma zitakazowamwagia mabilioni kwa miaka nenda Rudi. Tatizo hapo ninyi wenyewe na wanaowaongoza, fursa zinatafutwa lazima ifike mahala muwe na mikakati muhimu. Nafikiri, mmewekeza muda mwingi kuwachamba na kuwachambua wakristo hususani RC na kulialia muda mwingi badala ya kujipambanua kikamilifu katika kujenga uchumi wenu. Aidha, Ilmu akhera ni muhimu ni kweli, lakini msisahau mnaishi duniani ambako hekaheka ni nyingi hivyo msiache Ilmu dunia. Nafanya kazi vijijini kwenye mkoa mmojawapo wa kusini, Nina mifano hai. Tuwajibike na kupendana
Katika wote wewe ndio umechangia kama inavyotakiwa kuchangia mada ukiwa mwenye hekima pekee
Yaani mtu anajiona ana elimu kasoma sana umombo ila akifungua mdomo unamuona hana elimu bali chuki binafsi
Mtu anatukana wenye dini wote kweli anajiita msomi

Bora umeandika hivyo kwa maoni yako bila mihemko na udini
Poleni mnaotukana ila jifunzeni kutetea hoja kwa ustaarabu na heshima
Tuko humu kujifunza mengi na kujibu kwa hoja ila matusi sio hoja wala sifa
 
Katika wote wewe ndio umechangia kama inavyotakiwa kuchangia mada ukiwa mwenye hekima pekee
Yaani mtu anajiona ana elimu kasoma sana umombo ila akifungua mdomo unamuona hana elimu bali chuki binafsi
Mtu anatukana wenye dini wote kweli anajiita msomi

Bora umeandika hivyo kwa maoni yako bila mihemko na udini
Poleni mnaotukana ila jifunzeni kutetea hoja kwa ustaarabu na heshima
Tuko humu kujifunza mengi na kujibu kwa hoja ila matusi sio hoja wala sifa
Hakika huwa nashangazwa na watu wasioweza kuhandle roho zao katika hadhara za namna hii
 
Njaa mbaya sana, kwa akili yako unahisi mabilioni yanapelekwa kanisani au kwenye miradi ambayo serikali imeingia ubia? Mfano hayo mabilioni yakipelekwa kwenye hospital inayomilikiwa na kanisa lakini ina wafanyakazi kibao waajiriwa wa serikali (mfano Bugando Mwanza, KCMC Moshi, Baptist Kigom n.k) yakanunua madawa na vifaa tiba na kugharamia uendeshaji kidogo ndo kanisa linakuwa limenufaika!? Kabla ya huo ubia hospital zilikuwa zinajiendeshaje? Acheni upumbavu wa kidini na kimasikini kwenye mambo ya msingi kama afya za watu.

Ajira kwenye hizo taasisi wanapewa priority Wakiristo maana serikali haina power ya kuamulia hizo taasisi nani aajiriwe!.

Yaani hizo hospitali zinaendeshwa kwa kodi ya umma ila Serikali haina power kwenye mangement, na ajira!
 
Una elimu gani kwanza? Huo mkataba uko wapi? Kanisa katoliki halijawahi kuiomba serikali yako iingie mkataba wowote ila ni serikali inayotumia miradi ya kanisa kuhudumia wananchi wake (hospitals, vyuo, shule n.k) na mara nyingi ni katika maeneo ambayo serikali bado haijapeleka huduma za kijamii au katika maeneo ambayo serikali imepeleka huduma lakini hazina ubora.
Kanisa bila serikali yako linajitosheleza mno na halijawahi kuhitaji msaada na kwa taarifa yako kuna baadhi ya maeneo kanisa liliandika barua za kuvunja ushirikiano huo kutokana na serikali yako kutowajibika! Hivi kwa akili yako serikali hii inayoshindwa kuweka madawati kwenye vyumba vya madarasa inaweza kulifanyia nini kanisa!? Rudi madrasa katunge upuuzi mwingine.
Asante kwa ufafanuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom