Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

Inasikitisha na kuonyesha uwezo wetu mdogo wa kujadili bila matusi yaani utakuta ni watu wazima lakini udini umewaingia kiasi yupo tayari kujishusha hata kwa wanaomuona wa maana
Very weird 😕
Unajua Kama hujawahi patiently kujifunza juu ya world religions na Mambo yanayofanana na hayo, then Kama hujajifunza kupingwa na kukosolewa Basi chochote kinachoenda contrary na matamanio au matarajio yako lazima uwatangazie watu madhaifu yako na Hali halisi ya afya ya akili yako!! Tuombeane hekima na busara katika kuwasilisha hoja zetu
 
Wekezeni maeneo mtambuka na kipaumbele kwa serikali na jamii kwa ujumla muone Kama serikali haitakubaliana nanyi ili mtoe huduma zitakazowamwagia mabilioni kwa miaka nenda Rudi. Tatizo hapo ninyi wenyewe na wanaowaongoza, fursa zinatafutwa lazima ifike mahala muwe na mikakati muhimu. Nafikiri, mmewekeza muda mwingi kuwachamba na kuwachambua wakristo hususani RC na kulialia muda mwingi badala ya kujipambanua kikamilifu katika kujenga uchumi wenu. Aidha, Ilmu akhera ni muhimu ni kweli, lakini msisahau mnaishi duniani ambako hekaheka ni nyingi hivyo msiache Ilmu dunia. Nafanya kazi vijijini kwenye mkoa mmojawapo wa kusini, Nina mifano hai. Tuwajibike na kupendana
Watawezaji wakati wao wanaendekeza wizi na ufisadi?
 
Thamani ya hicho chuo na mipesa Taasisi za kikristo zinapata ni sawa na kulinganisha kisima na ziwa victoria.

Mabilioni na manufaa wanayopata wakatoliki kwa hiyo MoU ni sawa na vyuo hivyo 100

Chuo kilitolewa mara moja , wakati mabilioni kwenda kwa kanisa yanayolewa kila mwaka.
hivi hayo mambo amekwambia nan. Unawaza udini tu.stpd
 
Lazima mtetee ninyi wagalatia wapumbavu

Wakristo wangelikuwa wapumbavu dunia isingeliendelea hivi.
Dunia inachokifurahia leo ni kazi ya wakristo because there was time three quarters of the world it was steered by christendom.
Nitajie jambo moja jema lililoletwa na uislam Duniani then nitakanusha nilichokiandika
 
Wakati sakata like linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.

Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .

Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la do world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.

Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake

Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kujib sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???

Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.

Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.

Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.

Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
kitu kimoja unachokosea kufikiri ni kwamba, wakristo wote Tanzania ni wakatoliki. umesahau kuna idadi kubwa sana ya walokole, idadi kubwa sana ya walutherani, idadi kubwa sana ya African inland church huko mikoa ya wasukuma, idadi kubwa sana ya hao mitume na manabii wapigaji. wakatoliki Tanzania ni kama mil.10 na ushee tu, therest ni wakristo wengine. watanzania tupo 60 miliono. hivyo 50 million sio wakatoliki. ni either wakristo wengine au waislam au wapagani. kwahiyo unaleta hoja ya watu milioni kama 10 tu ili kuamua maisha ya 50m wengine waliobaki? unajiona una akili?

ukiongelea hospitali au shule, hata sisi wakristo tusio wakatoliki tukienda huko we are treated the same just like you others. kuna siku nilipeleka mtoto kufanay interview shule moja ya mapadre, the way yule padre alivyokuwa na roho ngumu sikuamini macho yangu. na wanataka mtoto wangu asali salamu maria analazimishwa kuwa mkatoliki ama la hata hawana shida, wanakwambia ondoka naye.
 
Wakati sakata like linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.

Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .

Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la do world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.

Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake

Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kujib sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???

Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.

Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.

Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.

Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
Taifa la Tanzania halina dini Ila raia wake wana dini zao.
Mashirika ya kidini yanayohudumia raia yakiendeshwa na raia hao wenye we ni muhimu sana katika jamii na taifa kwa ujumla.
DP world ni kampuni ya kibiashara na siyo shirika la kidini la kutoa huduma kam mashirika ya kanisa.
Wananchi wasigawanywe kwa sababu ya wapumbavu wachache wasiojua faida na hasara za dini.
Wananchi ni wamoja bila kujali dini tofauti, ambalo ni jambo la kujivunia kama taifa.
 
Kwa nini serikali ijenge Hospitali sehemu zenye Hospitali kubwa na za kisasa??
Ziwe Hospitali za kanisa au za msikiti.
Hizo zitakuwa akili au matope?!
Nchi hii kuna mikoa na wilaya wananchi wanasafiri mamia ya Kilometa kufuata Hospitali nzuri, serikali ijenge hospitali huko kwanza kabla ya kutaka kushindana na kanisa kuongeza hospital maeneo yenye hospitali bora tayari.

Hizo hospitali sio zake ni za kibiashara .
Hao catholic wanaweza kuzitumia hizo kujiimarisha wao kwenye biashara zao nyingine. Mf. Kuajili RC tu hivyo kuimarisha hata taasisi zao nyingine kama shule na vyuo.
Je, itakuwa sawa hii?? Wakati wanatumia Kodi ya umma ambayo ingeweza Jenga hospitali nyingine za serikali.
 
kitu kimoja unachokosea kufikiri ni kwamba, wakristo wote Tanzania ni wakatoliki. umesahau kuna idadi kubwa sana ya walokole, idadi kubwa sana ya walutherani, idadi kubwa sana ya African inland church huko mikoa ya wasukuma, idadi kubwa sana ya hao mitume na manabii wapigaji. wakatoliki Tanzania ni kama mil.10 na ushee tu, therest ni wakristo wengine. watanzania tupo 60 miliono. hivyo 50 million sio wakatoliki. ni either wakristo wengine au waislam au wapagani. kwahiyo unaleta hoja ya watu milioni kama 10 tu ili kuamua maisha ya 50m wengine waliobaki? unajiona una akili?

ukiongelea hospitali au shule, hata sisi wakristo tusio wakatoliki tukienda huko we are treated the same just like you others. kuna siku nilipeleka mtoto kufanay interview shule moja ya mapadre, the way yule padre alivyokuwa na roho ngumu sikuamini macho yangu. na wanataka mtoto wangu asali salamu maria analazimishwa kuwa mkatoliki ama la hata hawana shida, wanakwambia ondoka naye.

Umeona upumbavu wako sasa??? Hivi wewe kitendo cha mtoto wako kulazimishwa kusali sala za RC wakati so mkatoliki unaona ni sawa??
Halafu umeelewa nilichoandika vizuri??
Nimesema christians wanaweza wazidi katoliki lakini hawawezi merge kutokana na tofauti zao hivyo RC Bado ata control.
 
DPW ule ulikuwa ni mkataba wa hovyo serikali iliyoingia na waarabu kuendesha bandari zetu, sasa ukisema unaamini waislamu walitumia ile kama kigezo cha kulipa kisasi hapo unaonesha kumbe hao waislamu watakuwa wajinga.

Wajinga kwasababu madhara ya ule mkataba wa hovyo waliyoingia yatatuumiza wote, hayatachagua mwenye dini au mpagani, sasa kwanini wakatumia kigezo hicho kulipa kisasi kwa jambo litakalowaumiza mpaka wao wenyewe?!

Hii mada yako ni ya kufikirika zaidi, haijasimama inavyotakiwa, na umeharibu zaidi pale uliposema unaamini wanatupiga ila hujui how?!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Kitu kikubwa ni kwamba christians hatutaki kusikia ukweli huu kwamba mou na makanisa ni upendeleo ulio wazi.
Fedha za Kodi ya umma yapaswa kuhudumia wananchi na sio biashara za watu.
 
Hawa watu wanaoendeleza Udini ni wajinga tu. Ukiwauliza ni jinsi gani wanafaidika na dini zao hawataweza kukupa jibu.

Mimi ni Mkatoliki na nimezaliwa kwenye familia ya Kikatiliki. Lakini pamka kesho sioni ni jinsi gani nafaidka na utajiri wa kanisa zaidi ya kutoa sadaka na zaka.

Hao wapiga kelele ningewaelewa kama Kanisa lingekuwa linatoa ajira au matibabu kwa Wakatoliki peke yao. Nevertheless, hao wanaolialia na kjifanya wanapigania dini zao wasije shangaa watoto wao au wajukuu zao wanakuwa dini tofauti na zao kwa sasa. Leo wewe mkrtisto kesho mjukuu wako ni mwislamu and vice vesa.

Kama unakiri kuwa wewe huendekezi udini nijibu hapa.

Hospitali ya RC kufadhiliwa na pesa ya Kodi ni sawa??

Hospitali ni ya RC, hivi unadhani hawawezi weka upendeleo kwa watu wa dini Yao katika utoaji wa Ajira??

Vipi wakitumia asset zao kuimarisha biashara zao za Chini kama shule,vyuo,n.k, kutakuwa kuna haki hapo?? Kumbuka wanatumia Kodi na serikali hairuhusiwi kujenga hospitali nyingine kushindana nao. Serikali itakuwa inatenda haki hapo katika kuwaletea Ajira raia wake??
 
Ile MoU ya serikali na kanisa inayokataza serikali kujenga hospitali ktk maeneo yenye hospitali za kanisa ni uhuni mwingine wa RC kama kubariki mashoga. Hili jambo ni time bomb halitokubalika milele!
Sa wenye misikiti Wana umiliki wa hospitali ngapi nchi hii,rais mwinyi aliwahi kuwambia someni aisee acheni uswahili,,
 
Kama unakiri kuwa wewe huendekezi udini nijibu hapa.

Hospitali ya RC kufadhiliwa na pesa ya Kodi ni sawa??

Hospitali ni ya RC, hivi unadhani hawawezi weka upendeleo kwa watu wa dini Yao katika utoaji wa Ajira??

Vipi wakitumia asset zao kuimarisha biashara zao za Chini kama shule,vyuo,n.k, kutakuwa kuna haki hapo?? Kumbuka wanatumia Kodi na serikali hairuhusiwi kujenga hospitali nyingine kushindana nao. Serikali itakuwa inatenda haki hapo katika kuwaletea Ajira raia wake??
🤣🤣🤣Sa nyie mna miliki hospitali ngapi??acha uboya,,hata penye nchi zinazoongozwa na dini hamna amani mfano Iraqi,libya,
 
Njaa mbaya sana, kwa akili yako unahisi mabilioni yanapelekwa kanisani au kwenye miradi ambayo serikali imeingia ubia? Mfano hayo mabilioni yakipelekwa kwenye hospital inayomilikiwa na kanisa lakini ina wafanyakazi kibao waajiriwa wa serikali (mfano Bugando Mwanza, KCMC Moshi, Baptist Kigom n.k) yakanunua madawa na vifaa tiba na kugharamia uendeshaji kidogo ndo kanisa linakuwa limenufaika!? Kabla ya huo ubia hospital zilikuwa zinajiendeshaje? Acheni upumbavu wa kidini na kimasikini kwenye mambo ya msingi kama afya za watu.
Hii mijamaa mingi Ina mambo ya ajabu sana
 
Wakati sakata like linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.

Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .

Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la do world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.

Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake

Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kujib sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???

Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.

Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.

Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.

Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
Hakuna cha uislam wala ukristo na hata ungekuwepo usingeonekana kama serikali ingefata taratibu za kisheria kutafuta mwekezaji
 
Wakati sakata like linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.

Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .

Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la do world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.

Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake

Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kujib sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???

Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.

Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.

Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.

Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.
Mjinga wewe. Eti serikali inadhamini kanisa , we ni mweupe. Alafu sio mkristo. Yani kifupi wewe huna akili. MoU hukijui unaongeaongea. Iweke hapa tuone. Majinga sana maislam.
 
Back
Top Bottom