Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

DPW ule ulikuwa ni mkataba wa hovyo serikali iliyoingia na waarabu kuendesha bandari zetu, sasa ukisema unaamini waislamu walitumia ile kama kigezo cha kulipa kisasi hapo unaonesha kumbe hao waislamu watakuwa wajinga.

Wajinga kwasababu madhara ya ule mkataba wa hovyo waliyoingia yatatuumiza wote, hayatachagua mwenye dini au mpagani, sasa kwanini wakatumia kigezo hicho kulipa kisasi kwa jambo litakalowaumiza mpaka wao wenyewe?!

Hii mada yako ni ya kufikirika zaidi, haijasimama inavyotakiwa, na umeharibu zaidi pale uliposema unaamini wanatupiga ila hujui how?!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Huwajui waislamu wafia dini ww.hata wakiambiwa tanzqnia iwe chini ya mfalme wa uarabuni watafurahi muislamu mpare anaamini mpalestina muislamu ni ndugu yake kuliko mkristo mpare.ila wapalestina hawataki hata kuwaona mijitu miyeusi kule inaliwa jicho sana wanawaona wanyama
 
Ile MoU ya serikali na kanisa inayokataza serikali kujenga hospitali ktk maeneo yenye hospitali za kanisa ni uhuni mwingine wa RC kama kubariki mashoga. Hili jambo ni time bomb halitokubalika milele!
Hzo ni propaganda tu dhidi ya kanisa katoliki na hazisaidii chochote,serikali inapaswa kujitambua vilivyo ili ipeleke huduma kwa watanzania na sio kusingizia dini.kwa huduma za kanisa kwa ujumla wake wengi wamenufaika akiweko kikwete na wengine wengi tu wakati huo serikali ilikuwa haina shule zake kwa mfano,Ufisadi ushughulikiwe serkalini ili fedha za UMMA zikafanye kazi inayokusudiwa maana mchawi kwa sasa ni Ufisadi uliokita mizizi kwenye wizara nyingi za serikali,Tusisingizie kanisa katoliki.
 
Uislam sio taasisi tujenge vyuo wakati Tanzania Kuna vyuo vya kutosha dunia nzima Kuna vyuo? Hii ni dini sio taasisi za biashara kama nyie mfanyavyo sisi wajibu wetu ninkutimiza nguzo tano na kutafuta elimu popote pale
Sasa msilie lie Basi !
 
Back
Top Bottom